Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wasukuma walinigwaya pamoja na kunikaribisha kwa ukarimu mkubwa[emoji1545].. Nadhani tatizo lilikuwa ni lile fuko la tunguli nililo share picha zake kwenye ile post [emoji1787]
Fuko lilifika salama Shinyanga Gamboshi kilingeni kabisa na nililala huko[emoji2827].. Leo mida ya mchana nikaanza mwendo na sasa nimetuamo mjini penu.. Naomba mnikaribishe[emoji1545]
Fuko lilifika salama Shinyanga Gamboshi kilingeni kabisa na nililala huko[emoji2827].. Leo mida ya mchana nikaanza mwendo na sasa nimetuamo mjini penu.. Naomba mnikaribishe[emoji1545]