Tetesi: Kahama kuna majipu?

Tetesi: Kahama kuna majipu?

MWAKATA KWETU

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
562
Reaction score
319
Nimeshuhudia mbunge wa kahama mjini Mh.Jumanne Kibela Nkandi Kishimba akilaumu watendaji wa halimashauri ya mji wa kahama haswa engeneer kupitisha barabara hewa....ambazo zingine zilishatengenezwa zamani ba kuziandikia ni mpya...hivyo tunaomba wahusika wafatilie swala hili .
 
Back
Top Bottom