Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

Mji wa Katoro (kata za katoro, ludete na nyamigota) una watu wengi kuliko manispaa za bukoba na shinyanga.


Mji wa buseresere(kata za buseresere na butengorumasa) una watu karibu na manispaa ya bukoba.
True, ukichukua Kata zote zinazounda Centre ya Katoro, unakuta kuwa Mji huo una wakazi 300,000 na unashika namba 13 nchini kwa Miji mikubwa tena bila kujumlisha Centre ya Bwanga ambayo endapo Katoro ikipewa hadhi ya Mji inaweza kuimeza Bwanga kama ambavyo Geita imemeza Kasamwa.
Endapo Bwanga itaunganishwa kwa Katoro, basi Katoro itakuwa na idadi kubwa ya watu kuliko hata Mji wa Geita kwani utakuwa na wakazi 390,000 (Bwanga - 69,000 na Minkoto - 17,000).
Na hapo hauna hata Hadhi ya Mji.
 
Niliona watu wanayoka Geita kwenda kufanya manunuzi Katoro. Wengi sana hasa weekend. Kwa hiyo inabidi ijipange au serikali iwape push kidogo.
Ni kweli, kuna uwezekano mkubwa hapo baadaye Katoro (+ Bwanga) ndiyo ukawa Mji mkubwa wa kushindana na Kahama badala ya Geita kwani ni Mji ulioko kwenye junction ya Barabara Kuu za kwenda Bukoba (+ Uganda), Mwanza (+Kenya) na Dar es Salaam (+Rwanda & Burundi).
In fact, siku mgodi wa GGM ukijifunga, ndipo siku Geita itakuwa imepoteza uwezo wake.
 
Nani anakudanganya kuwa kuna umasikini uliotopea? Mnapumbazwa na hizo data zinazotolewa kila siku? Mbona hamuambiwi ni watu gani wanatumia msauzi, nondo na saruji kwa wingi hapa nchini? Nathan utakuwa hujafika Kanda ya Ziwa we were. Umasikini upo mkubwa lakini matajiri na wenye maisha mazuri wako kibao tena kibao.
Ndiyo means spending zao ni kubwa. Ulizia Kanda inayoongoza nchini kwa unywaji mkubwa wa bia ulete majibu.
Changamoto zipi zaidi ya umaskini uliotopea pande hiyo?
 
IMG_20231117_124046.jpg

Makosa makubwa yaliyofanyika katoro ni kutokea na MPANGO mzuri WA mji hii ni manzese iliyochangamka.

Ila Kwa TZ hili ndo eneo lenye LODGE kaliiii kaliiiiiiiiiii Kwa bei poa kabisa.... Katoro ndo sehemu Kwa 3ok unapata lodge yenye sebule na tv 55' chumbani na seblen.

Ni kamji kenye nyumba zenye finishing Kali kupitia maelezo
 
View attachment 2818291
Makosa makubwa yaliyofanyika katoro ni kutokea na MPANGO mzuri WA mji hii ni manzese iliyochangamka.

Ila Kwa TZ hili ndo eneo lenye LODGE kaliiii kaliiiiiiiiiii Kwa bei poa kabisa.... Katoro ndo sehemu Kwa 3ok unapata lodge yenye sebule na tv 55' chumbani na seblen.

Ni kamji kenye nyumba zenye finishing Kali kupitia maelezo
Tatizo la hio miji wanajenga hovyo hovyo sana...hizo nyumba zikizeeka zitafanana na Tandale baada ya miaka 10 tu...
Vip kuhusj barabara za mtaa? Mtu anaweza park mbele ya nyumba yake?

Kama vip.zipandishww hadhi ziwe manispaa ili kuwepo meya wa kushughulikia haya matatizo vinginevyo vitabaki vijiji vilivyochangamka
 
Nani anakudanganya kuwa kuna umasikini uliotopea? Mnapumbazwa na hizo data zinazotolewa kila siku? Mbona hamuambiwi ni watu gani wanatumia msauzi, nondo na saruji kwa wingi hapa nchini? Nathan utakuwa hujafika Kanda ya Ziwa we were. Umasikini upo mkubwa lakini matajiri na wenye maisha mazuri wako kibao tena kibao.
Ndiyo means spending zao ni kubwa. Ulizia Kanda inayoongoza nchini kwa unywaji mkubwa wa bia ulete majibu.
Eti nani anatumia msouth nondo na saruji nyingi 😁😁😁😁😁

Ukiacha umaskini uliotopea pande hiyo ,Kuna shida kubwa ya kansa na kuzaa albino 😂😂

View: https://www.instagram.com/reel/CzbTWq1PM9u/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Eti nani anatumia msouth nondo na saruji nyingi 😁😁😁😁😁

Ukiacha umaskini uliotopea pande hiyo ,Kuna shida kubwa ya kansa na kuzaa albino 😂😂

View: https://www.instagram.com/reel/CzbTWq1PM9u/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Acha kunidhalilisha na vitu vya kuokoteza mzee, jitahidi kujielimisha. Inaonekana wewe ni mgeni wa Kanda ya Ziwa. Unaongelea kansa sijui albino nani amekwambia ni kubwa kiasi hicho? Fuatilia data za Wagonjwa wa Kansa, tofauti ni ndogo tu dhidi ya Mikoa mingine hata kama Kanda ya Ziwa ndio inaongoza.
Ningetamani nijue unakotokea ungenikoma.
Kanda ya Ziwa ndiyo Tanzania One, vichwa vingi hatari vinatokea huko.
 
Acha kunidhalilisha na vitu vya kuokoteza mzee, jitahidi kujielimisha. Inaonekana wewe ni mgeni wa Kanda ya Ziwa. Unaongelea kansa sijui albino nani amekwambia ni kubwa kiasi hicho? Fuatilia data za Wagonjwa wa Kansa, tofauti ni ndogo tu dhidi ya Mikoa mingine hata kama Kanda ya Ziwa ndio inaongoza.
Ningetamani nijue unakotokea ungenikoma.
Kanda ya Ziwa ndiyo Tanzania One, vichwa vingi hatari vinatokea huko.
Wewe ni Kati ya mbumbumbu wa Kanda ya Ziwa.

Nimekuwekea hapo utafiti wa mwananchi unanukuu taarifa za hospital unasema naokoteza?

Binafsi siwezi kuishi Wala kuoa watu wa huko tuko siku nyingi sana nilogundia disorders kibao.Hapo hawajataja shida ya kuvimba miguu.

Hiyo sio sehemu salama ya kuishi
 
Back
Top Bottom