Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Wapi ambako hakuna nguvu ya serikali? Itaje hiyo miradi ambayo kwingineko hakuna nguvu ya serikaliHiyo miradi ya njombe ni nguvu ya serikali kuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi ambako hakuna nguvu ya serikali? Itaje hiyo miradi ambayo kwingineko hakuna nguvu ya serikaliHiyo miradi ya njombe ni nguvu ya serikali kuu
Wapi ambako Serikali imejengea Wana Njombe magorofa? Magorofa yote ya Njombe ulijenga wewe na Serikali yako au?Na hapo ndipo watu wanashindwa kutofautisha... Kahama ni self made.. ha wengine ni miradi ya serikali kuu.
Iko wapiKahama hiyo
Idadi ya watu mtaongoza milele sambamba na umaskini lakini quality of life mtasalia mkiani daimaWakati Masasi ikiwa na watu 100000, korogwe 60000 na NJOMBE 120000, tunduma 150000 ...kahama ilikuwa na watu 240000... Na hiyo ni almost miaka 10 iliyopita imagine... Ukuaji wa khm ya these past 10 years ...
Ndio mimi hiyo account ilipata ban@Choice variable mkuu sogea hapa kwenye mnakasha huu maalumu
Kwamba kuwa kwako kwenye DFP ndo kunakufanya ujue miji peke yako? Acha uongo ndugu. Miji mingi Tanzania ina tabia zinazofanana, huu unaweza kuwa na hiki ukakosa kile nk.Mimi ni dereva wa DFP mzee na mkaazi wa Mwanza,hakuna penye sijui nchi hii..narudia,ukiondoa wilaya zilizopo kwenye majiji hakuna kama KAHAMA hapa nchini
Ila Masasi panakuja vizuri, njia nne paleHahaa korogwe bado sana kwa kahama
Ujenzi wa Soko na stand NJOMBE ni Mradi wa ULGSP kupitia serikali kuu. Kama ilivyokuwa kwa Msamvu, Na Korogwe Bus Terminal.. pia kwa makao makuu mapya ya mikoa kama Bariadi, Geita na Njombe ... Kw dsm kuna miradi mingi inatekelezwa kupitia mradi wa DMDPWapi ambako hakuna nguvu ya serikali? Itaje hiyo miradi ambayo kwingineko hakuna nguvu ya serikali
Hivi huwa unaongelea magorofa yapi hayo.ya NJOMBE ambayo kahama hayapo!?Wapi ambako Serikali imejengea Wana Njombe magorofa? Magorofa yote ya Njombe ulijenga wewe na Serikali yako au?
Serikali itajenga miradi wanayohusika nayo sasa sijui mnaongea utopolo gani nyie
Onyesha Hotel kama hizi Kijiji kizima cha KahamaNimefika njombe hamna kitu pale
Ko hiyo sio Serikali? Nikajua ni private sectorUjenzi wa Soko na stand NJOMBE ni Mradi wa ULGSP kupitia serikali kuu. Kama ilivyokuwa kwa Msamvu, Na Korogwe Bus Terminal.. pia kwa makao makuu mapya ya mikoa kama Bariadi, Geita na Njombe ... Kw dsm kuna miradi mingi inatekelezwa kupitia mradi wa DMDP
Kusema sio serikali ni kumaanisha miradi.inaendeshwa kwa fedha za makusanyo ya ndani ya halmashauri husika.. mfano kahama kuna Sehemu ya soko la mama lishe Majengo, soko kuu la majengo, Ujenzi wa Majengo mapya ya Hospitali ya Wilaya, Upanuzi wa kituo cha afya vya ngaya, ujenzi wa makao makuu ya halmashauri ya mji (Now manispaa) vyote hivi ni kwa makusanyo ya ndani ya mji husika.. ukitoa milioni 500 raisi alizoahidi juzi.
Haya hapa chini na wewe uweke ya KahamaHivi huwa unaongelea magorofa yapi hayo.ya NJOMBE ambayo kahama hayapo!?
Gaprena Kahama Gold na Submarine hizo ndizo nazifahamauOnyesha Hotel kama hizi Kijiji kizima cha Kahama View attachment 1690890View attachment 1690891View attachment 1690892View attachment 1690893View attachment 1690894View attachment 1690895View attachment 1690896
Fedha ya serikali kuu.. au NJOMBE TC wanasimamia ujenzi!?Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Songwe,construction on progressView attachment 1690911
We fikra zako ni bure kabisa..tembea nchiniOnyesha Hotel kama hizi Kijiji kizima cha Kahama View attachment 1690890View attachment 1690891View attachment 1690892View attachment 1690893View attachment 1690894View attachment 1690895View attachment 1690896
Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Kuna vitu vya Isaka road jirani na FINCA na Ile Hotel mpya Tabora road sijaviona aiseeGaprena Kahama Gold na Submarine hizo ndizo nazifahamauView attachment 1690914View attachment 1690915View attachment 1690916
Bilioni nne na serikali kuu inatoa wapi makusanyo... Unahisi NJOMBE inakusanya bilioni nne ndizo zinaendesha mji!? 🙂Ko hiyo sio Serikali? Nikajua ni private sector
By the way kila Mji una vipaombele vyake kwa mfano hakuna maana kutumia pesa za kusanyo kujenga miradi ambayo serikali kuu lazima ijenge kulingana na hadhi ya Mji kuwa makao makuu ya mkoa,mapato ya ndani yanafanya miradi mingine mingi tuu ikiwa ni pamoja na kujenga vituo vya afya,shule,barabara nk nk
Unadhani bln 4 kwa mwaka zinaliwa tuu au?