Jenga Hoja zako kwa kuweka ushahidi wa picha za mji wa Kahama na wanaotetea Njombe nao waweke zaoIn short nothing special about Njombe mkuu
Mtoa mada anazingua, amekuja na majina yake na majibu yake pia,Mbona mtoa mada umekuja na majina yako mfukoni?
Sasa Magu akaze nini? Na amnyoshe nani? Huoni bado ni mshamba na masikini kifkra?Lol! Tutawanyoosha nyinyi mzee baba Magu kaza hivyo hivyo
Airport gani inayojengwa mwanza?Huoni tunajenga kila kitu huku, tuna Chato international airport inaendelea kujengwa, Mwanza inakuja kuwa bonge la airport likiisha.
.
Tunajenga hospital ya wilaya Katoro ambayo ni kata tu.
Tunalima pamba.
Tuna migodi ya kutosha, Ashanti anglogold, Barrick au Acacia ya zamani tuna almasi mwadui.
.
Machimbo mengine hadi kero, Nyarugusu, Mwansubi n.k
Tuna malls za kisasa, tuna kiwanja cha mpira chenye leseni ya kuchezewa mechi za CAF kirumba, tuna Nyamagana nyasi za mzungu.
.
Nimechoka hapa nimeandika kibaguzi nimewatenga wa kagera na watu wa Mara
Sasa mimi nazungumzia maendeleo wewe unaleta pumba za ooh wafupi ooh weusi kwani umelazimishwa kuoa? Umewahi kuona hawaolewi kisa weusi? Kumbe umesema wanaoana wao kwa wao na wewe oana na wakwenu shida iko wapi?Njombe ni baridiiii watu weusiiii, kule mabinti warembo 100% wanatoka Singida πππ ndo wafanya kazi za mabar ni wauza uchi n.k
.
Wazaliwa wa njombe wengi weusiii alafu wafupi, wanaowana wao kwa wao hivyo kupata mbengu ndefu imekuwa tabu,hakuna mwanamke mrembo unakuta binti anakurupuka asubuh na limkoti huyo anaonekana kama bibi.
.
Mnaroga hadi mimba Mshana Jr tukasaidie huku, wanaopata mimba wanavaa makoti na kanga kwa juu watu wanachokoza wenye mimba makusudi ili ajibiwe pumba akamtengeneze wabena kudadadeki zenu.
.
Wanafunzi wakike wanavaa suruali na sketi kwa sababu ya baridi, akitoa suruali ni mabaka miguuni,hata wamama wa mitaani wana mabaka miguuni kwa sababu ya kukaa kwenye moto, magaga sasa kule yanawatoka mpaka kero sijui ni ardhi gani hiyo
.
Haya ChoiceVariable na Mgoroko mnipinge kwa hoja je ninyi sio wafupi, weusiiii maana kuna weusi na weusiiii maana najua hamkai njombe ila ni watu wa huko
Kongole za kutosha mkuu kwa kumpa huyo jamaa ukweli.Tumadini wanatolingia soon tunaenda kuisha wakati sisi tunazidi kufungua fursa madini ya chuma na makaa yako mbioni kuanza kuzalishwa,Hydro dams 3 za umeme mbioni kujengwa,magorofa na mataasisi mengi ya serikali na sekta binafsi bila kusahau airport ya Njombe vyote vinajengwa si ujajua tena nyumbani kunogile na pesa tunayoUnaijua kahama huijui Njombe huwezikutoa fair comparison
Shinyanga Hanna kitu hovyo kabisa huwezilinganisha na Njombe.
Songea n hovyo kabisa imejengwa kwa nyumba za hovyo dari wanaweka bati inachoizidi Njombe Ni Idadi ya wattu
Iringa imezidi Njombe kwa majengo ya kisasa ukubwa was mji na Idadi ya watu pia barabara na wingi wa viwanda
Na makampuni ya usafurishaji
Kahama n hub ya biashara kwa wafanyabiashara was Mikoa ya magharibi Kagera,Kigoma na Burundi
na Rwana pamoja na mgodi wa buzwagi.idadi ya watu n kubwa mji haujapangwa lakini naiona Njombe ikiipita kahama kimaendeleo nanuzuri was mji
Njombe n mji unakua sifa yake n nyumba nzuri na mji kupangwa vizuri,biashara kubwa ya viazi na mbao .Viwanda vipo vya chai,maziwa,Rami,playwood,packaging ya parachichi .Kwa ujumla jamaa wanna hela ya kilimo na wapo njema.Pia Njombe Kuna Hotel super kabisa kuliko Songea,kahama na inalingana kabisa na Iringa na Mbeya
Unaijua Kahama lakini au unaongea kwa hisia?Hata kama madini yapo sio mengi kwa kiasi hicho Buzwagi ndo hiyo inakauka miaka michache ijayo kutapauka,pili Khm sio mji wa transport hub Kama Njombe ni suala la mda tu Kahama itapauka wakati Njombe ndio kuna kucha hivyo.Pindi barabara za Njombe/Itoni kudewa mbamba bay,Njombe Ifakara mikumi na Njombe makete Mbeya zikikamilika zitakuwa ni ufunguo mkubwa sana huku kwa fursa
Pia usisahau kwamba Njombe ni mkoa wa wachapa kazi na pia kumbuka kuna mabwawa 4 ya kufua umeme yako mbioni kujengwa yote hiyo inakupa picha ya Njombe ya Kesho sio sawa na huko mnakoongoza kwa maskini wengi
Ko mzee baba ulitaka kama ni ukweli miji ya Tzn haijangika na ukuaji wake ni wa ki slums slums niseme Google ya mzungu haitambui wakati kila mtu anaona [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Umesoma hizo points hapo juu au unajifariji wakati unajua yajayo kwa Kahama yanahuzunisha.
Usifananishe nchi ya ahadi(Njombe) iliko bustani ya Eden(kitulo) na vitu vya kijinga kijinga walikojaa maskini
Ila kufananisha wilaya na mkoa sijui kigezo gani umechukua...Hapo ndipo mnapigwa bao na kukariri,huenda ni Khm ni kubwa kwa sasa lakini kasi ya Njombe ni zaidi ya sana,miti,kilimo cha mazao ya kila aina kuanzia matunda hadi nafaka,madini(chuma,makaa,asbestos),utalii(kitulo),biashara na kujaliwa wachapakazi ni tunu za no return kwa Njombe na potential yake ni kubwa kuliko Kahama ambayo soon mgodi ukizingua itapukutika
Mambo ya barabara kuu hata huku zipo tena na nyingine zinazidi kujengwa so usichukulie poa kumbuka huu ni mkoa bila shaka huduma za msingi ziko vizuri kuliko huko kwa manamba
Binafsi yangu kati ya hiyo miji ningechagua Njombe. Watu wanadhani njombe ni mbao ambazo kimsingi wana supply East Africa yote mpaka Sudan kusini. Njombe INA supply viazi mviringo, inatoa parachichi nyingi nje ya nchi kuliko, thamani ya ardhi njombe ni kubwa kuliko kahama. Watu wa njombe ni wachapakazi sana pia naona hata kariakoo hapa wanunuzi wakubwa wa majengo ni wananjombe. Kahama ni pazuri lakini hali ya hewa na fursa za madini hazitabiriki,
Mambo ya migodi sio sustainable na Wala sio ya kutegemea ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo hakuna madini hapo zaidi ya mashimo mjiandae kupasukaUnaijua Kahama lakini au unaongea kwa hisia?
Jamaa amekueleza fact
Mji unazungukwa na migodi mingi midogo ukiachilia hiyo buzwagi na bulyanhulu..
Mji huu ndio kiunganishi cha nchi Jirani za Uganda, Rwanda, Burundi, Congo na ukitaka enda Sudan kusini.
Tizama takwimu za pato la taifa kiwilaya uikute njombe ambayo ni mkoa linganisha na wilaya ya Kahama then ulete jibu.
Kwa Kilimo njombe iko vema ila kwa biashara kubwa Kahama ni next level.
Ninalima njombe naishi Kahama hivyo naongea ninachojua.
Mada yangu inalinganisha miji na fursa zinazozungukaIla kufananisha wilaya na mkoa sijui kigezo gani umechukua...
Kahama ni wilaya inayozidi mikoa mingi ya Tanzania ikiwemo huo njombe, ingefaa ipewe hadhi ya mkoa kabisa ila ndio hofu kuwa Shinyanga itapotezwa
Jenga Hoja zako kwa kuweka ushahidi wa picha za mji wa Kahama na wanaotetea Njombe nao waweke zao
Tuanze na
1.Bus terminal Njombe vs Kahama
2.Soko kuu Njombe vs Kahama
3.Hospitali Njombe vs Kahama
4.Viwanda Njombe vs Kahama
5.Hotels za Njombe vs Kahama
6.Mandhari ya Mji Njombe vs Kahama
7.Shughuli kubwa za Kiuchumi mashamba na Migodi Njombe vs Kahama
8.Mabenki Njombe vs Kahama
9.Majengo muhimu Halmashauri,Makanisa Njombe Vs Kahama
10..
11....
Shule/vyuo Njombe vs KahamaJenga Hoja zako kwa kuweka ushahidi wa picha za mji wa Kahama na wanaotetea Njombe nao waweke zao
Tuanze na
1.Bus terminal Njombe vs Kahama
2.Soko kuu Njombe vs Kahama
3.Hospitali Njombe vs Kahama
4.Viwanda Njombe vs Kahama
5.Hotels za Njombe vs Kahama
6.Mandhari ya Mji Njombe vs Kahama
7.Shughuli kubwa za Kiuchumi mashamba na Migodi Njombe vs Kahama
8.Mabenki Njombe vs Kahama
9.Majengo muhimu Halmashauri,Makanisa Njombe Vs Kahama
10..
11....
Unaijua Kahama lakini au unaongea kwa hisia?
Jamaa amekueleza fact
Mji unazungukwa na migodi mingi midogo ukiachilia hiyo buzwagi na bulyanhulu..
Mji huu ndio kiunganishi cha nchi Jirani za Uganda, Rwanda, Burundi, Congo na ukitaka enda Sudan kusini.
Tizama takwimu za pato la taifa kiwilaya uikute njombe ambayo ni mkoa linganisha na wilaya ya Kahama then ulete jibu.
Kwa Kilimo njombe iko vema ila kwa biashara kubwa Kahama ni next level.
Ninalima njombe naishi Kahama hivyo naongea ninachojua.
Sawa labda for the time being,how about future? Maana hiyo miundombinu ya kiserikali inakuja na pesa mjini kumbuka Dom city inavyogaragaza Mwanza,Mbeya,Arusha etc kimapato lakini miaka 3 iliyopita ilikuwa hoi,ndivyo itakavyokuwa kwa Njombe na Kahama kuwa mpole miundombinu isimame afu ujue wakinga wamerudi kujenga kwao mzee baba so ni ishu ya mda tu na tuombe uzima tukutane 2025Asilimia kubwa ya hivyo ulivitaja viko njombe mkoa kuliko Kahama wilaya, ila banks Kahama ni nyingi zaidi
Kumbuka miundombinu mingi ya serikali hujengwa kwa status ya mji hivyo wilaya na mkoa haviwezi lingana kwa hizo administrative infrastructures.
Ila kibiashara na mzunguko mkubwa wa pesa Kahama is among three leading districts katika pato la taifa...
Hawa nyumbu wa kisukuma wana ukwasi wa madini na biashara, mji ya Kahama gharama za maisha ziko juu kama jiji vile na wakazi wafanyabiashara wengi wa mji ni mixer watz na mataifa Jirani..
All in all kwa future ya kilimo njombe is the best place to invest.
Sawa labda for the time being,how about future? Maana hiyo miundombinu ya kiserikali inakuja na pesa mjini kumbuka Dom city inavyogaragaza Mwanza,Mbeya,Arusha etc kimapato lakini miaka 3 iliyopita ilikuwa hoi,ndivyo itakavyokuwa kwa Njombe na Kahama kuwa mpole miundombinu isimame afu ujue wakinga wamerudi kujenga kwao mzee baba so ni ishu ya mda tu na tuombe uzima tukutane 2025
Unalima nini Njombe mjini?Kwa Njombe katika kilimo kuna fursa kubwa sana
Miji mingi duniani imeporomoka baada ya madini kuishaKahama mzee unaisikia tu, kule hakukauki pesa na haijawahi kauka madini yapo ya kutosha.
.
Njombe kwenye mambao kitendo cha kusema ni sehemu ya mambao hii ina maana ni porini huko ulinganishe na sehemu yenye madini kama kahama?
.
Una bahati mbaya nakujua njombe [emoji23][emoji23][emoji23] kahama iko juu