Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

In short nothing special about Njombe mkuu
Jenga Hoja zako kwa kuweka ushahidi wa picha za mji wa Kahama na wanaotetea Njombe nao waweke zao

Tuanze na
1.Bus terminal Njombe vs Kahama
2.Soko kuu Njombe vs Kahama
3.Hospitali Njombe vs Kahama
4.Viwanda Njombe vs Kahama
5.Hotels za Njombe vs Kahama
6.Mandhari ya Mji Njombe vs Kahama
7.Shughuli kubwa za Kiuchumi mashamba na Migodi Njombe vs Kahama
8.Mabenki Njombe vs Kahama
9.Majengo muhimu Halmashauri,Makanisa Njombe Vs Kahama
10..
11....
 
Huoni tunajenga kila kitu huku, tuna Chato international airport inaendelea kujengwa, Mwanza inakuja kuwa bonge la airport likiisha.
.
Tunajenga hospital ya wilaya Katoro ambayo ni kata tu.
Tunalima pamba.
Tuna migodi ya kutosha, Ashanti anglogold, Barrick au Acacia ya zamani tuna almasi mwadui.
.
Machimbo mengine hadi kero, Nyarugusu, Mwansubi n.k
Tuna malls za kisasa, tuna kiwanja cha mpira chenye leseni ya kuchezewa mechi za CAF kirumba, tuna Nyamagana nyasi za mzungu.
.
Nimechoka hapa nimeandika kibaguzi nimewatenga wa kagera na watu wa Mara
Airport gani inayojengwa mwanza?
 
Njombe ni baridiiii watu weusiiii, kule mabinti warembo 100% wanatoka Singida 😂😂😂 ndo wafanya kazi za mabar ni wauza uchi n.k
.
Wazaliwa wa njombe wengi weusiii alafu wafupi, wanaowana wao kwa wao hivyo kupata mbengu ndefu imekuwa tabu,hakuna mwanamke mrembo unakuta binti anakurupuka asubuh na limkoti huyo anaonekana kama bibi.
.
Mnaroga hadi mimba Mshana Jr tukasaidie huku, wanaopata mimba wanavaa makoti na kanga kwa juu watu wanachokoza wenye mimba makusudi ili ajibiwe pumba akamtengeneze wabena kudadadeki zenu.
.
Wanafunzi wakike wanavaa suruali na sketi kwa sababu ya baridi, akitoa suruali ni mabaka miguuni,hata wamama wa mitaani wana mabaka miguuni kwa sababu ya kukaa kwenye moto, magaga sasa kule yanawatoka mpaka kero sijui ni ardhi gani hiyo
.
Haya ChoiceVariable na Mgoroko mnipinge kwa hoja je ninyi sio wafupi, weusiiii maana kuna weusi na weusiiii maana najua hamkai njombe ila ni watu wa huko
Sasa mimi nazungumzia maendeleo wewe unaleta pumba za ooh wafupi ooh weusi kwani umelazimishwa kuoa? Umewahi kuona hawaolewi kisa weusi? Kumbe umesema wanaoana wao kwa wao na wewe oana na wakwenu shida iko wapi?
Kwa mawazo hayo sishangai mnaongoza kwa kunuka umaskini ,sasa ukiwa mrefu mwili jumba afu maskini wa akili na mali inakusudia nini zaidi ya kuwa mtumwa na manamba kwa mimi mfupi mwenye akili?
Zaidi ya uchuuzi wa kwenye migodi kuna nini kingine mnacho huko Khm? Rais mwenyewe aliappreciate maendeleo yetu kwanza ukitoka Makambako kwenda Njombe Songea utafikiri uko Vancouver Canada,mashamba makubwa ya kisasa ya miti,mahindi,viazi,chai,matunda nk huku tunatumia umwagiliaji wa kisasa wa sprinklers drop irrigation nk afu poyoyo Kama wewe unaleta hadithi hapa.mtasugua sana vumbi nyie
 
Unaijua kahama huijui Njombe huwezikutoa fair comparison

Shinyanga Hanna kitu hovyo kabisa huwezilinganisha na Njombe.

Songea n hovyo kabisa imejengwa kwa nyumba za hovyo dari wanaweka bati inachoizidi Njombe Ni Idadi ya wattu

Iringa imezidi Njombe kwa majengo ya kisasa ukubwa was mji na Idadi ya watu pia barabara na wingi wa viwanda
Na makampuni ya usafurishaji

Kahama n hub ya biashara kwa wafanyabiashara was Mikoa ya magharibi Kagera,Kigoma na Burundi
na Rwana pamoja na mgodi wa buzwagi.idadi ya watu n kubwa mji haujapangwa lakini naiona Njombe ikiipita kahama kimaendeleo nanuzuri was mji

Njombe n mji unakua sifa yake n nyumba nzuri na mji kupangwa vizuri,biashara kubwa ya viazi na mbao .Viwanda vipo vya chai,maziwa,Rami,playwood,packaging ya parachichi .Kwa ujumla jamaa wanna hela ya kilimo na wapo njema.Pia Njombe Kuna Hotel super kabisa kuliko Songea,kahama na inalingana kabisa na Iringa na Mbeya
Kongole za kutosha mkuu kwa kumpa huyo jamaa ukweli.Tumadini wanatolingia soon tunaenda kuisha wakati sisi tunazidi kufungua fursa madini ya chuma na makaa yako mbioni kuanza kuzalishwa,Hydro dams 3 za umeme mbioni kujengwa,magorofa na mataasisi mengi ya serikali na sekta binafsi bila kusahau airport ya Njombe vyote vinajengwa si ujajua tena nyumbani kunogile na pesa tunayo
Sasa huko Kahama ambako wanategemea uchuuzi wa watu wa mikoa ya jirani biashara zitapukitika kadiri maeneo tajwa yanapata barabara nzuri
 
Hata kama madini yapo sio mengi kwa kiasi hicho Buzwagi ndo hiyo inakauka miaka michache ijayo kutapauka,pili Khm sio mji wa transport hub Kama Njombe ni suala la mda tu Kahama itapauka wakati Njombe ndio kuna kucha hivyo.Pindi barabara za Njombe/Itoni kudewa mbamba bay,Njombe Ifakara mikumi na Njombe makete Mbeya zikikamilika zitakuwa ni ufunguo mkubwa sana huku kwa fursa
Pia usisahau kwamba Njombe ni mkoa wa wachapa kazi na pia kumbuka kuna mabwawa 4 ya kufua umeme yako mbioni kujengwa yote hiyo inakupa picha ya Njombe ya Kesho sio sawa na huko mnakoongoza kwa maskini wengi
Unaijua Kahama lakini au unaongea kwa hisia?
Jamaa amekueleza fact
Mji unazungukwa na migodi mingi midogo ukiachilia hiyo buzwagi na bulyanhulu..
Mji huu ndio kiunganishi cha nchi Jirani za Uganda, Rwanda, Burundi, Congo na ukitaka enda Sudan kusini.
Tizama takwimu za pato la taifa kiwilaya uikute njombe ambayo ni mkoa linganisha na wilaya ya Kahama then ulete jibu.
Kwa Kilimo njombe iko vema ila kwa biashara kubwa Kahama ni next level.
Ninalima njombe naishi Kahama hivyo naongea ninachojua.
 
Jidanganye kuwa Kahama ni slums, unless unaongelea hisia na sio uhalisia..
Ko mzee baba ulitaka kama ni ukweli miji ya Tzn haijangika na ukuaji wake ni wa ki slums slums niseme Google ya mzungu haitambui wakati kila mtu anaona [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Unapenda ligi sio fact..
Umesoma hizo points hapo juu au unajifariji wakati unajua yajayo kwa Kahama yanahuzunisha.
Usifananishe nchi ya ahadi(Njombe) iliko bustani ya Eden(kitulo) na vitu vya kijinga kijinga walikojaa maskini
 
Hapo ndipo mnapigwa bao na kukariri,huenda ni Khm ni kubwa kwa sasa lakini kasi ya Njombe ni zaidi ya sana,miti,kilimo cha mazao ya kila aina kuanzia matunda hadi nafaka,madini(chuma,makaa,asbestos),utalii(kitulo),biashara na kujaliwa wachapakazi ni tunu za no return kwa Njombe na potential yake ni kubwa kuliko Kahama ambayo soon mgodi ukizingua itapukutika
Mambo ya barabara kuu hata huku zipo tena na nyingine zinazidi kujengwa so usichukulie poa kumbuka huu ni mkoa bila shaka huduma za msingi ziko vizuri kuliko huko kwa manamba
Ila kufananisha wilaya na mkoa sijui kigezo gani umechukua...
Kahama ni wilaya inayozidi mikoa mingi ya Tanzania ikiwemo huo njombe, ingefaa ipewe hadhi ya mkoa kabisa ila ndio hofu kuwa Shinyanga itapotezwa
 
Una maanisha nini ardhi ya njombe INA thamani kuliko ya Kahama?
Umelinganisha bei ya ardhi au ubora wa hali ya hewa?
Binafsi yangu kati ya hiyo miji ningechagua Njombe. Watu wanadhani njombe ni mbao ambazo kimsingi wana supply East Africa yote mpaka Sudan kusini. Njombe INA supply viazi mviringo, inatoa parachichi nyingi nje ya nchi kuliko, thamani ya ardhi njombe ni kubwa kuliko kahama. Watu wa njombe ni wachapakazi sana pia naona hata kariakoo hapa wanunuzi wakubwa wa majengo ni wananjombe. Kahama ni pazuri lakini hali ya hewa na fursa za madini hazitabiriki,
 
Unaijua Kahama lakini au unaongea kwa hisia?
Jamaa amekueleza fact
Mji unazungukwa na migodi mingi midogo ukiachilia hiyo buzwagi na bulyanhulu..
Mji huu ndio kiunganishi cha nchi Jirani za Uganda, Rwanda, Burundi, Congo na ukitaka enda Sudan kusini.
Tizama takwimu za pato la taifa kiwilaya uikute njombe ambayo ni mkoa linganisha na wilaya ya Kahama then ulete jibu.
Kwa Kilimo njombe iko vema ila kwa biashara kubwa Kahama ni next level.
Ninalima njombe naishi Kahama hivyo naongea ninachojua.
Mambo ya migodi sio sustainable na Wala sio ya kutegemea ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo hakuna madini hapo zaidi ya mashimo mjiandae kupasuka
Mambo ya kuwa kiunganishi ni kwa sababu maeneo uliyoyataja bado yana miundombinu duni ya kufikika moja kwa moja hivyo kufanya Kahama kuwa senta for the time being lakini kadiri miundombinu inavyoimarika hiyo nafasi itaisha maana hata Tunduma ina play the same role lakini yote sio miji mikubwa kama moshi au Morogoro au mtwara
Mwisho wewe unadhani nani ana bright future kati ya Kahama mji na Njombe mji ikizingatiwa pipeline ya miradi iliyoko?
So far Njombe ina viwanda vingi kuliko Kahama na nimekutajia orodha ya projects zilizoko mbioni kujengwa wakati kwa Kahama zaidi ya barabara ya Geita Kahama Ulyankulu kaliua mpanda hakuna mradi mwingine zaidi ya huo
 
Ila kufananisha wilaya na mkoa sijui kigezo gani umechukua...
Kahama ni wilaya inayozidi mikoa mingi ya Tanzania ikiwemo huo njombe, ingefaa ipewe hadhi ya mkoa kabisa ila ndio hofu kuwa Shinyanga itapotezwa
Mada yangu inalinganisha miji na fursa zinazozunguka
No way Kahama itakuwa mkoa maana sioni jiografia itakayoibeba labda wachukue wilaya za Tabora sasa sijui Kahama ikitoka Shinyanga itabaki na wilaya gani kuwa mkoa
 
Asilimia kubwa ya hivyo ulivitaja viko njombe mkoa kuliko Kahama wilaya, ila banks Kahama ni nyingi zaidi
Kumbuka miundombinu mingi ya serikali hujengwa kwa status ya mji hivyo wilaya na mkoa haviwezi lingana kwa hizo administrative infrastructures.
Ila kibiashara na mzunguko mkubwa wa pesa Kahama is among three leading districts katika pato la taifa...
Hawa nyumbu wa kisukuma wana ukwasi wa madini na biashara, mji ya Kahama gharama za maisha ziko juu kama jiji vile na wakazi wafanyabiashara wengi wa mji ni mixer watz na mataifa Jirani..
All in all kwa future ya kilimo njombe is the best place to invest.
Jenga Hoja zako kwa kuweka ushahidi wa picha za mji wa Kahama na wanaotetea Njombe nao waweke zao

Tuanze na
1.Bus terminal Njombe vs Kahama
2.Soko kuu Njombe vs Kahama
3.Hospitali Njombe vs Kahama
4.Viwanda Njombe vs Kahama
5.Hotels za Njombe vs Kahama
6.Mandhari ya Mji Njombe vs Kahama
7.Shughuli kubwa za Kiuchumi mashamba na Migodi Njombe vs Kahama
8.Mabenki Njombe vs Kahama
9.Majengo muhimu Halmashauri,Makanisa Njombe Vs Kahama
10..
11....
 
Jenga Hoja zako kwa kuweka ushahidi wa picha za mji wa Kahama na wanaotetea Njombe nao waweke zao

Tuanze na
1.Bus terminal Njombe vs Kahama
2.Soko kuu Njombe vs Kahama
3.Hospitali Njombe vs Kahama
4.Viwanda Njombe vs Kahama
5.Hotels za Njombe vs Kahama
6.Mandhari ya Mji Njombe vs Kahama
7.Shughuli kubwa za Kiuchumi mashamba na Migodi Njombe vs Kahama
8.Mabenki Njombe vs Kahama
9.Majengo muhimu Halmashauri,Makanisa Njombe Vs Kahama
10..
11....
Shule/vyuo Njombe vs Kahama
Aisee ukija kwa vigezo hivyo Kahama labda itaongoza kwa gesti na wingi wa watu ambao ni maskini tuu 🤭🤭🤭🤭
 
Unaijua Kahama lakini au unaongea kwa hisia?
Jamaa amekueleza fact
Mji unazungukwa na migodi mingi midogo ukiachilia hiyo buzwagi na bulyanhulu..
Mji huu ndio kiunganishi cha nchi Jirani za Uganda, Rwanda, Burundi, Congo na ukitaka enda Sudan kusini.
Tizama takwimu za pato la taifa kiwilaya uikute njombe ambayo ni mkoa linganisha na wilaya ya Kahama then ulete jibu.
Kwa Kilimo njombe iko vema ila kwa biashara kubwa Kahama ni next level.
Ninalima njombe naishi Kahama hivyo naongea ninachojua.

Uzuri wa hii mada ni kuchukua tu fursa wanazozisema. Ukifuatillia ligi ni kama kila mtu anavutia kwake. Niliuliza kuhusu ukuaji wa njombe unaosemwa humu maana all the facts zilikuwepo muda mrefu na labda cha tofauti ni kwa huu mji kufanywa mkoa kamili kutokea Iringa. Nikaacha wafu wazikane
 
Asilimia kubwa ya hivyo ulivitaja viko njombe mkoa kuliko Kahama wilaya, ila banks Kahama ni nyingi zaidi
Kumbuka miundombinu mingi ya serikali hujengwa kwa status ya mji hivyo wilaya na mkoa haviwezi lingana kwa hizo administrative infrastructures.
Ila kibiashara na mzunguko mkubwa wa pesa Kahama is among three leading districts katika pato la taifa...
Hawa nyumbu wa kisukuma wana ukwasi wa madini na biashara, mji ya Kahama gharama za maisha ziko juu kama jiji vile na wakazi wafanyabiashara wengi wa mji ni mixer watz na mataifa Jirani..
All in all kwa future ya kilimo njombe is the best place to invest.
Sawa labda for the time being,how about future? Maana hiyo miundombinu ya kiserikali inakuja na pesa mjini kumbuka Dom city inavyogaragaza Mwanza,Mbeya,Arusha etc kimapato lakini miaka 3 iliyopita ilikuwa hoi,ndivyo itakavyokuwa kwa Njombe na Kahama kuwa mpole miundombinu isimame afu ujue wakinga wamerudi kujenga kwao mzee baba so ni ishu ya mda tu na tuombe uzima tukutane 2025
 
Sawa labda for the time being,how about future? Maana hiyo miundombinu ya kiserikali inakuja na pesa mjini kumbuka Dom city inavyogaragaza Mwanza,Mbeya,Arusha etc kimapato lakini miaka 3 iliyopita ilikuwa hoi,ndivyo itakavyokuwa kwa Njombe na Kahama kuwa mpole miundombinu isimame afu ujue wakinga wamerudi kujenga kwao mzee baba so ni ishu ya mda tu na tuombe uzima tukutane 2025

jombaa unaipenda dom city 😂😂😂😂😂😂 nakumbuka kuna thread Kenya forum ulinitolea povu... There is NOTHING special about it. Dodoma ni serikali na vyuo na hii move ya serikali kwa sasa iliyo serious kiasi ndio inapafanya pawe palivyo yaani naifananisha na ule muhemko wa Gas city. Dom imeendelea kulinganisha na enzi hizo na the fact kuwa ipo planned .possibly ndio itakuja kuwa the most modern city in Tz kama mipango itaenda sawa

Mwanza ni mji unaokua kwa nguvu zake kwa kiasi kikubwa..yaani ni force ya watu wenyewe kuhamia kwa hiyari yao kutokana na potential ya eneo lenyewe.. Brother Airport ya mwanza ikikamilika, daraja na usafiri wa ziwa victoria ukarudi kama zamani hata bila SGR. Mwanza itarudi katika position yake.
 
Kahama mzee unaisikia tu, kule hakukauki pesa na haijawahi kauka madini yapo ya kutosha.
.
Njombe kwenye mambao kitendo cha kusema ni sehemu ya mambao hii ina maana ni porini huko ulinganishe na sehemu yenye madini kama kahama?
.
Una bahati mbaya nakujua njombe [emoji23][emoji23][emoji23] kahama iko juu
Miji mingi duniani imeporomoka baada ya madini kuisha
 
Back
Top Bottom