Just as Kahama but jua kwamba potential ya Njombe ni kubwa kuliko KahamaIn short nothing special about Njombe mkuu
Mbeya tu inawatoa knock out
Normal business fluctuations Kama chai na kahawa ya Ludewa.Ujue tuna pesa kuliko nyie wachuuzi mnaobahatisha vijisenti naomba tuelewaneYaan ww kisa umekaa njombe bas unajitoa ufaham mwenyew?😅😅 njombe viazi gunia haizid 40/= hebu uwe serious bas na ww..soko la mbao l8meshuka sana sana
😄😄😄😄 Mzee Baba nyie ni wengi tuu kama simbilisi ila njaa tupu huko ndo maana mna mark time tuuBro Mbeya hata robo ya mwanza haitokuja kufika kiufupi Ukiitoa Dar, basi inayofuata ni Mwanza hapo umemaliza ndio utakuja Arusha
Huoni tunajenga kila kitu huku, tuna Chato international airport inaendelea kujengwa, Mwanza inakuja kuwa bonge la airport likiisha.Nyie manamba wa migodi ndio inakula kwenu maana sie shughuli zetu hazina uhusiano na hisani za Magu.Pamba hiyoooo inadoda
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Mzee Baba nyie ni wengi tuu kama simbilisi ila njaa tupu huko ndo maana mna mark time tuu
Ukiitoa Dar next ni Dom,Arusha then Mwanza in terms of cash
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Mzee Baba nyie ni wengi tuu kama simbilisi ila njaa tupu huko ndo maana mna mark time tuu
Ukiitoa Dar next ni Dom,Arusha then Mwanza in terms of cash
Normal business fluctuations Kama chai na kahawa ya Ludewa.Ujue tuna pesa kuliko nyie wachuuzi mnaobahatisha vijisenti naomba tuelewane
Hujui kitu wewe tunapanda kahawa ya kuzidi Ludewa no matter Njombe yenyewe ulifika miaka mingi afu unatoa ushuzi hapa.Hakuna biashara inashuka kila siku hizo ni normal price fluctuationspye..chai kila siku kwenye masoko ya dunia inazidi kushuka.utaniambia nn ww...labda useme kahawa..tena njombe haiko..km iko bas mmeanz kupanda 6yrs back..
pye..chai kila siku kwenye masoko ya dunia inazidi kushuka.utaniambia nn ww...labda useme kahawa..tena njombe haiko..km iko bas mmeanz kupanda 6yrs back..
Kahawa Njombe Haipo, Only Mbinga , Mbozi(vwawa, Mlowo, ileje, mbalizi, ) Kigoma ( Manyovu, incliding munanila, ) Kilimanjaro, Karagwe na Muleba, kiasi na Tanga kidogo lushoto, Tukuyu hayo ni baadhi ya maeneo wanayolima kahawa hiyo ya njombe uliiona wapi QUOTE]