Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

The time ulikuwa pande hizi miji mingi ilikuwa haijaanza kunawiri leo hii Mbeya jiji ni jiji kweli kuna kila kitu kinachohitajika kuwa jiji hata magorofa iliyokuwa inapondwa saizi yanaoteshwa,vyuo vikuu kila mahali,wiwanda,biashara hadi mall zipo na mji unakua just imagine kutoka uyole hadi mbalizi
Ukija Songwe Tunduma na Kahama kwa mzunguko wa pesa na ukubwa havipishani,Mlowo-Vwawa vimeungana mbioni kuitwa manispaa ya Mbozi huku makao makuu ya mkoa yakiwa katikati ya hiyo miji hapo unasubili nini kurudi kukamata fursa?
 
The time ulikuwa pande hizi miji mingi ilikuwa haijaanza kunawiri leo hii Mbeya jiji ni jiji kweli kuna kila kitu kinachohitajika kuwa jiji hata magorofa iliyokuwa inapondwa saizi yanaoteshwa,vyuo vikuu kila mahali,wiwanda,biashara hadi mall zipo na mji unakua just imagine kutoka uyole hadi mbalizi
Ukija Songwe Tunduma na Kahama kwa mzunguko wa pesa na ukubwa havipishani,Mlowo-Vwawa vimeungana mbioni kuitwa manispaa ya Mbozi huku makao makuu ya mkoa yakiwa katikati ya hiyo miji hapo unasubili nini kurudi kukamata fursa?

Mkuu, nackia mbeya ni hatari pamejengeka, mandhari ya kule is fantastic balaa. Baada ya Dar na Mwanza, Mbeya inafuata. I wish niende nikatembee niangalie na fursa zinaendaje
 
ChoiceVariable: njoo nikufindishe nchi yako ilivo sio uwe unaandika usiyoyajua, Mwanza iache kama ilivo ile ni habari nyingine kabisa Na wewe utawatafuta akina manengelo wakutagutie kiwanja ukute hadi usagara pamejaa au ubakie kwenu isyesye na isanga.
Sasa mimi nikae usagara polini uswahilini kule? Kwa taarifa yako na kufahamu hiyo pande my bro ni staff huko na kujenga usagara ila huko uswahilini hadi Busisi siwezi kuishi nabaki Isyesye imepangwa kimipango miji mkuu
Sgr ikifika mwanza,daraja la kigongo Busisi likikamilika(japo upande ule wa sengerema hamna kitu) na airport ikikamilika hakuna jipya jingine mwanza wakati wenzenu huku ndio kuna kucha
Saizi kuna mpango wa kujenga barabara ya njia nne kuanzia Mbeya hadi Tunduma ili ku accommodate traffic kubwa ya eneo hilo huku bypass ya uyole mbalizi inaanza kujengwa mwaka ujao
Barabara ya mbeya chunya makongolosi tabora/singida ikikamilika tu itaboost sana Mbeya na tutawalisha nyie waganga njaa huko Ziwani
 
ChoiceVariable nafahamu fursa zote mbeya hadi leo hii hadi magendo zote nazijua na unajua kama hua kahawa ya Burundi inauzwa Mlowo? Kwa sababu pale kahawa inakua sio nyingi sana?
 
Na sijatoka miaka mingi kama unavofikiria am still there lakini mwanza huwezi ilinganisha na Mbeya kwa lolote
 
Mkuu, nackia mbeya ni hatari pamejengeka, mandhari ya kule is fantastic balaa. Baada ya Dar na Mwanza, Mbeya inafuata. I wish niende nikatembee niangalie na fursa zinaendaje


😂😂😂😂 Tembea uone..kwamba baada ya Dar na Mwanza inakuja Mby😂😂😅🙌🙌
 
Na moja ya mikoa ambayo ukienda kutafuta maisha utayapata haraka ni Mwanza, nakutajia fursa chache tu za mwanza, ziwani kuna sangara na sato ukichukua sangara za milioni tatu ukapeleka kugandisha viwandani then upate mtu sahihi wa kukuuzia pale ferry au upeleke pale external ukajumue pale una uhakika wa kupata laki nne hadi tano faida kwa wiki
 
Mkuu, nackia mbeya ni hatari pamejengeka, mandhari ya kule is fantastic balaa. Baada ya Dar na Mwanza, Mbeya inafuata. I wish niende nikatembee niangalie na fursa zinaendaje
Sio kihivyo mkuu huku wengi wanakudisi kwa sababu ya vumbi na baridi yaani udongo wake kiangazi unamomonyoka na kuwa Poda sasa upepo wa kutoka Nyasa ukivuma ni balaa tupu otherwise mandhari ni mazuri sana sema watu wa mipango miji ndio wanazingua by the way saizi biashara zinatoka kuanzia city hadi Tunduma border
 
Mwanza: unaweza kuuza kitu inaitwa mabondo haya soko lake kubwa ni palepale mwanza na uganda.
 
Kama ni banks zipo za kutosha kila mji


Map of kahama banks list

map expand icon















CRDB Bank
Bank
Closed ⋅ Opens 8AM Mon
CALL

DIRECTIONS

Diamond Trust Bank (DTB) Kahama Branch
Bank
Closed ⋅ Opens 8AM Mon

DIRECTIONS

NMB Business Centre
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30PM Mon
CALL

DIRECTIONS

TPB BANK PLC KAHAMA
Bank


DIRECTIONS

NMB Business Centre
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30PM Mon
CALL

DIRECTIONS

Bank Of Africa
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30AM Mon
CALL

DIRECTIONS

Nmb Bank
Bank
Closed ⋅ Opens 8AM Mon

DIRECTIONS

DTB Bank
Bank


DIRECTIONS

Finca Microfinance Bank
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30AM Mon

DIRECTIONS

NBC Bank

Na huko kwenu mkuu mnazo benki ngapi?
 
Mkuu, nackia mbeya ni hatari pamejengeka, mandhari ya kule is fantastic balaa. Baada ya Dar na Mwanza, Mbeya inafuata. I wish niende nikatembee niangalie na fursa zinaendaje
Mm nko mbeya muda huu.... Bado mbeya pakawaidaaa... Kukutana na nyumba ya tope ni kawaida sana

Sema hawa wenzetu kwa kutengeneza maneno ya kujisifia hawajamboo.... Mbeya hata huwezi linganisha na dodoma... Nimetembea miji mikubwa hapa tz.... Mwanza ndio kwetu... Nasoma mbeya... Likizo daresalaam na mtwala... Advance bukoba na kigoma nimesoma.. Bado kanda ya kaskazini arusha, tanga na kilimanjaro ndio sipajui.... Sasa mbeya kweli
 
Back
Top Bottom