ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #1,261
Dawa yako hii hapa chini,Njombe townWe jamaa nilikuwa nazani ni mtu kumbe ni mpumbavu tuu yaani unabisha na TAMISEMI
Hahahaha Njombe kama Ulaya I wish ningekuwa mzaliwa wa kuleUmesoma hizo points hapo juu au unajifariji wakati unajua yajayo kwa Kahama yanahuzunisha.
Usifananishe nchi ya ahadi(Njombe) iliko bustani ya Eden(kitulo) na vitu vya kijinga kijinga walikojaa maskini
Unaonekana hata hujui ulisemalo,nikuulize hivyo vijiji ulivyovitaja vina hadhi ipi kwenye muundo wa mamlaka ya serikali za mitaa? Mafinga na Njobe ni Town councils long time kitambo kabla ya hicho kijiji cha kahama,baada ya migodi kuanza ndio kahama ikajikongoja but our towns have been claiming stead growth unlike kahama ambayo siku tu migodi ikigeuka mashimo kahama na hivyo vijiji ulivyovitaja vitageuka kuwa vijiji vikongwe yaan ghost towns wakati wenzio huku ndio kwaanza kuakucha maana kuna every thing,yaani future ya miji ya kusini very bright kuliko huko machimboni
Wewe unaamini kwenye official data mnazokusanya au kwenye hadithi na porojo? ukijibu hili swali ntajua cha kukwambia,haiwezekani tunaweka picha,takwimu na maeleo bado mnaleta feelings zenu tuuMimi nimefanya kazi Makambako, Njombe na Kahama nazifahamu kuliko unavyofahamu huko. Kubali Kahama ni Kubwa Sana Kwa population, Income ya serikali na Income ya mtu mmoja mmoja.Pia si migodi pekee Kuna kilimo nk lakini ni Busisness cente zaidi ya makambako na Njombe, Ukuaji wa Njombe is not more than 7.% wakati kahama itakuwa zaidi ya 11% . Nina uzoefu mpana Sana Kwa maeneo haya
Wewe unaamini kwenye official data mnazokusanya au kwenye hadithi na porojo? ukijibu hili swali ntajua cha kukwambia,haiwezekani tunaweka picha,takwimu na maeleo bado mnaleta feelings zenu tuu
We kiazi kweli hiyo ni Kahama TC bila Kahama Vijijini (Ushetu+Msalala)Mufindi DC+Mafinga TC=8.7bln,Kahama 6.2bln💉💉💉💉
Hakunaga kitu inaitwa Kahama vijijini mburura wewe,hizo ni independent Districts zenye hq huko huko kwao,hata vimapato vyao ni kiduchu below 2 bln annuallyWe kiazi kweli hiyo ni Kahama TC bila Kahama Vijijini (Ushetu+Msalala)
Hakunaga kitu inaitwa Kahama vijijini mburura wewe,hizo ni independent Districts zenye hq huko huko kwao,hata vimapato vyao ni kiduchu below 2 bln annually
Kama ulikuwa hujui Mwanza mji (Ilikuwa ni Mwanza mjini+,Mwanza vijijini) ambazo leo ndio zimeunda Rock city au jiji la Mwanza (Mwanza mjini ni Nyamagana na Mwanza vijijini ni Ilemela Municipal)
Sasa kama ni official data kwa nini usikubaliane na data za idara ya Takwimu za Taifa zinazosema Njombe ni ya 3 kwa index za maendeleo na iko ttop 5 kwa overall ya vipimo vya human development kuanzia per capita income hadi makazi bora? Wakati huko migodini kumetopea umaskini sasa hizi hadithi na blaa blaa mnazoleta nyie bila data mnazitoa wapi kama sio mihemko yenu inayochagizwa na unazi wa nyumbani?Office data si bla bla
Hii ni mipaka ya kabla ya kuanzishwa hizo wilaya mpya,lete current map sio ya zamani,hata Wilaya ya Njombe imezalisha Wanging"ombe District iliyokuwa sehemu ya Njombe Rural
Mipaka ipo vile vile kuna Ushetu upande wa Magharibi na Msalala upande wa MasharikiHii ni mipaka ya kabla ya kuanzishwa hizo wilaya mpya,lete current map sio ya zamani,hata Wilaya ya Njombe imezalisha Wanging"ombe District iliyokuwa sehemu ya Njombe Rural
Sisi kipaombele chetu sio kuitwa jiji au manispaa bali barabara ya Njombe/Itoni -Ludewa-manda -Mbamba Bay,,Njombe-Makete-Isyonje/Mbeya na Njombe-madeke-Mlimba-Ifakara zikamilike kwa lami ndio hizo habari zingine ziendelee kama ramani ianyooshesha hapo chini.Hizo roads zikifunguka tuu ,Njombe itazaliwa upya kama kitovu kikuu cha Uchumi na biasharaNajua Kahama itakuwa jIji kabla ya Njombe, na wilaya zitakazo unda jiji la Kahama ni Kahama mjini+Ushetu+Msalala....
TAMISEMI na Kahama ni washindi, wacha tukaomboleze kwanza msiba wa Mama yetu Rev. Getrude Rwakatare.Sisi kipaombele chetu sio kuitwa jiji au manispaa bali barabara ya Njombe/Itoni -Ludewa-manda -Mbamba Bay,,Njombe-Makete-Isyonje/Mbeya na Njombe-madeke-Mlimba-Ifakara zikamilike kwa lami ndio hizo habari zingine ziendelee kama ramani ianyooshesha hapo chini.Hizo roads zikifunguka tuu ,Njombe itazaliwa upya kama kitovu kikuu cha Uchumi na biashara
Saw pointi ya msingi ni kwamba Kahama Rural comprising Ushetu and Msalala Districts ni poor tu kimapato,zinakusanya below 2bln annually so hazina msaada hapo KahamaMipaka ipo vile vile kuna Ushetu upande wa Magharibi na Msalala upande wa Mashariki
Sawa ongeza hapo kwenye billion 3.2 za Kahama unapata ngapi vile? Hata Geita bado haifuati yaaniSaw pointi ya msingi ni kwamba Kahama Rural comprising Ushetu and Msalala Districts ni poor tu kimapato,zinakusanya below 2bln annually so hazina msaada hapo Kahama
Endeleeni kushinda but mtakapokuwa mnaambiwa nyie ni maskini wa kutupwa msiwe mnatoa povu,ombolezeni kama alikuwa msaada kwenuTAMISEMI na Kahama ni washindi, wacha tukaomboleze kwanza msiba wa Mama yetu Rev. Getrude Rwakatare.
Around 9.2 for 1 District (with 3 Councils),,8.7( only 1 District with 2 Councils)Sawa ongeza hapo kwenye billion 6 za Kahama unapata ngapi vile?