We mbwa uwe unasoma na kuelewa, wapi nimeandika habari ya manispaa mbili?![emoji1787][emoji1787] Au ndo kubanwa mbavu na kuanza kubwekabweka hapa! Nimesema ndani ya jiji la Mwanza kuna manispaa, ndani ya jiji la mbeya haipo.
Hatuzungumzii ramli hapa 'eti mbeya kutakuwa na manispaa mbili' tunazungumzia kilichopo kama ulivyouliza tukutajie kilichopo Mwanza ambacho hakipo mbeya, jibu ni ndani ya jiji la Mwanza kuna manispaa na ndani ya jiji la mbeya hakuna, yaani kwa maana nyingine ndani ya jiji la Mwanza kuna kairinga au kamorogoro. Kwa hiyo chukua kambeya na kamorogoro ndo upambanishe na liMWANZA. Umesikia we mbwa.
Sent using
Jamii Forums mobile app