Heri upate Murder case lakini sio urudi Mafinga[emoji23]Nimekaa Mafinga mwaka ukiniambia nirudi pale kufanya maisha naweza nikakupiga kichwa...vumbi la pale kiboko miguu inakakamaa kama ngozi ya mamba
utakua mvivu wewe, mpambanaji hachagui uwanja wa MapambanoHeri upate Murder case lakini sio urudi Mafinga[emoji23]
Mkuu mbona umeniqoute bila kujua kwanini nimecomment hv!?utakua mvivu wewe, mpambanaji hachagui uwanja wa Mapambano
Haha sio kuvuana tunaangalia uhalisia wenyewe sio porojo ya kusema miji ya tunduma na makambako ya wachuuziWakuu mbona mmeanza kuvuana nguo?
Heri upate Murder case lakini sio urudi Mafinga[emoji23]
CBD ya makambako inaanzi mizani Hadi stendi ya daladala za ilembula ukitoka round about hadi parokia ya ilangamoto ndoo maana hzo sehemukwani makambao CBD ni wapi mkuu
Alafu mkumbuke sikuizi mtu hawezi kudanganyika kirahisi anachek tu Google map mji wote hapo ndipo utajua mji upi unakwenda Kasi sio story za vijiweni au za kuvutia nyumbani ukweli utaonekana t pia kila halmashauri Ina tovuti yenye data zote mfano ya mafinga inakwambia mji inawakazi 84000 umeanza 2015 wakati mji wa makambako inakadiliwa kuwa na wakaz zaidi 150000 na tunduma pia ko hapo mtu unajifunza Kitu sio kuleta mada za Mara makao makuu ya mkoa Mara makao makuu ya makanisa haya yanaweza kuwa sehemu yoyote ilimradi vikao husika viliamuaje pia saiz hoteli zinajengwa kila sehemu kuna miji Kama Moshi na arusha hoteli zpo Hadi vijijini kwa sababu ya utalii pia hata bank ko kila mji inatakiwa uangalie pana fursa gani je inafanyiwa kazi na zingine saiz zimesimama tofauti na nyuma mfano biashara ya mbao imesimama ndo maana utaona matajiri wengi wameelekeza pesa zao kwenye biashara zingine ko mji unaotegemea zao hili lazima urudi nyuma kidogo Ni tofaut tunavosema mji huu Ni wa biashara nachukulia mfano makambako pale mzunguko wa hela Ni mwaka mzima kwa sababu watu wengi hawategemei Kitu kimoja na watu wengi pale Ni wajasiriamali tofauti na njombe wanategemea kilimo ko ukianza msimu wamasham a watu wengi pesa wanaelekeza shambani na mafinga watu wengi wanategemea mbao ko hizi fursa ndizo zinazo ufanya mji ukue au usikue kutokana na shughuli za kila siku pia na urahisi wa maisha ikiwemo gharama za ujenzihamna mkuu tumeona wa kahama wamekimbia tumeamua kupiga stori wenyewe japo Mdatchu kazingua kwa kuhama mada.Mada ilikua NJOMBE/MAFINGA v KAHAMA yeye akaja na mtoto wa Njombe(Makambako) v Njombe.Nimeona amekosa adabu kabisa nikashindwa kuvumilia ha ha ha ha
Safi Sana Hapo mtu ndo unapata. Majibu sio kuvutia nyumbani tu bila sababu takwim ndo kila KituKahama urban
View attachment 1619176
View attachment 1619180
Njombe Urban
View attachment 1619178
View attachment 1619179
Safi Sana Hapo mtu ndo unapata. Majibu sio kuvutia nyumbani tu bila sababu takwim ndo kila Kitu kahama Ni kubwa sana
Hapo ndipo unajua mji upi mkubwa na upi mdogo huu ndo uzuri wa mitandaoMufindi Urban
View attachment 1619189
Makambako urban
View attachment 1619190
Tunduma urban
View attachment 1619192
Kagongwa ward (Kahama Urban)
View attachment 1619194
Ndo maana nilisema huwezi kushindanisha miji ya kibiashara na kilimo Ni tofauti Sana Ni sawa uanze kulinganisha dodoma na dsmHiyo Kagongwa Kahama ni kata tu ipo nje ya mji lakini kwa biashara tu kuna benk mbili za Azania na CRDB zina matawi hapo.
.
Nipe staticts za Makamabako sasa Maana kwa statistics za hapo juu nimeona kua Kahama ina kata mbili za Urban na Njombe tatu huku nyingine zikiwa ni rural ward/sio town japo ni stastics za muda mrefu sana hata hiyo pplation ni outdated maana miaka nane kwa maendeleo ya binadamu ni mingi sana Mambo yameshabadilika sanaSafi Sana Hapo mtu ndo unapata. Majibu sio kuvutia nyumbani tu bila sababu takwim ndo kila Kitu
Makambako kata tisa zipo mjini Kama ifuatavyo kata ya makambako mwembetogwa maguvani majengo mlowa kitisi kivavi lyamkena na mjimwema hizi ndo kata za mjini mixed Ni utengule mahongole na kitandililo na mitaa ipo 54 vijiji 12 tofauti na njombe yenye mitaa 28 na vijiji 44 na mafinga kata zipo 9 za mjini Ni boma upendo changalawe wambi kinyanambo za vijijini Ni saohill lungemba bumilayinga na isalavanu Kuna mitaa 30 na vijiji 11 hizo ndo takwimu nimeingia tovuti ya kahama tc Ina kata 20 mitaa 32 na vijiji 45Nipe staticts za Makamabako sasa Maana kwa statistics za hapo juu nimeona kua Kahama ina kata mbili za Urban na Njombe tatu huku nyingine zikiwa ni rural ward/sio town japo ni stastics za muda mrefu sana hata hiyo pplation ni outdated maana miaka nane kwa maendeleo ya binadamu ni mingi sana Mambo yameshabadilika sana
Porojo unazo wewe,imetuzidi kwa ukubwa upi? WekaAlafu watu was njombe bhana mji kuwa makao makuu sio ndo ukuaji mbona makambako imewa zidi sana kwa ukubwa alafu hata mafinga bdo padogo ukilinganisha hata na makambako kujisifu ndo kwing uongo mtupu
Wewe utakuwa sio zumbukuku tena Bal zumbubata kabisaa,labda kichaa ndio anaweza tamani kuishi huko Kahama,Kama una hasira kunywa maji Ila Njombe ndio habari ya mjini kwa sasa na sio huko machimboniWe mleta mada nyanoko...mana huna hoja zaidi ya kusifia visivyoonekana..huwezi fananisha kahama na hizo miji ushenzi..nzogu gahama ombone omo duletela..hiyo mikoa watu wanaikimbia wameacha mapoli ya miti tu..wanarudi msimu wakuvuna..ulinganishe na mji wa mishe kama kahama..kila mtu anatamani aishi kahama.
#MaendeleoHayanaChama
Kusoma hujui hata picha huoni? Total collections Njombe imeipiga Kahama mbali Sana sasa sijui wewe hiyo overall yako unayoisema ni ipi,hata ukileta makusanyo ya 2019/20 kote mumepigwa sasa unasingizia makinikia je na sisi tukisingizia covid kuharibu soko la mazao ya miti na maparachichi jeKwa upande wa mapato KAHAMA na NJOMBE, yaani na hapo kinikia hazisafirishwi migodi imefanya retrenchment na bado kwenye over all collection Kahama imefanya vizuri kuliko Njombe https://www.tra.go.tz/swahili/images/collection_report_2018-19_as_of_June-2019.xls
DIRECT TAX
View attachment 1567409
INDIRECT TAX
View attachment 1567411
CUSTOM & EXCISE
View attachment 1567412
Ukubwa upi unaousema,weka takwimu za idadi ya watu,idadi ya kata ndio uje na porojo zako.Njombe imekuwa TC kitambo Sana sio Kama hao watoto akina Makambako,saizi iko mbioni kuwa manispaaAlafu watu was njombe bhana mji kuwa makao makuu sio ndo ukuaji mbona makambako imewa zidi sana kwa ukubwa alafu hata mafinga bdo padogo ukilinganisha hata na makambako kujisifu ndo kwing uongo mtupu
Njombe mjini Kuna mavuno gani ya msimu? Hiyo miji ni ya kichuuzi toka kitambo but haina chochote kuanzia maendeleo ya huduma Hadi kiuchumi na itabakia kuwa magulio tuNa miji inayokua na ya kibiashara Ni kahama makambako na tunduma sio mnalinganisha na miji ya hela za msimu wa mavuno