Na njombe itabakia kuwa wakulima t maana hata gorofa mnazopiga picha wamejenga wafanyabiashara ko viaz mtaendelea kutuletea tNjombe mjini Kuna mavuno gani ya msimu? Hiyo miji ni ya kichuuzi toka kitambo but haina chochote kuanzia maendeleo ya huduma Hadi kiuchumi na itabakia kuwa magulio tu
Waulizeni wakenya watawaambia Mkoa wa Njombe ulivyo na fursa,,Kwanza ni Mkoa wa tatu kiuchumi Tanzania nzima,,Kahama nje na madini nini kingineUsifananishe KAHAMA na vitu vya kijinga
Njombe ni yatatu kiuchumi nchi nzima,,unaongea nini wewe au hauna takwimu,,tafuta Iringa na Songea katika list yako uje na jibuShinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa njombe una matatizo
.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 utazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
.
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea
Ukiingia kimkoa una halmashauri sita kahama sio mkoa ni wilaya inatakiwa Kama mnalinganisha mkoa linganisha mkoa wa shinyanga na mkoa wa njombeWaulizeni wakenya watawaambia Mkoa wa Njombe ulivyo na fursa,,Kwanza ni Mkoa wa tatu kiuchumi Tanzania nzima,,Kahama nje na madini nini kingine
Kiuchumi mkoa wa njombe upo juu Ni 3 ikimaanisha mapato ya halmashauri sita Yan njombe tc makambako tc njombe dc ludewa DC makete DC wangingombe dcNjombe ni yatatu kiuchumi nchi nzima,,unaongea nini wewe au hauna takwimu,,tafuta Iringa na Songea katika list yako uje na jibu
Wanachangia lakini hawaujui mkoa wao[emoji13][emoji13][emoji13]Kiuchumi mkoa wa njombe upo juu Ni 3 ikimaanisha mapato ya halmashauri sita Yan njombe tc makambako tc njombe dc ludewa DC makete DC wangingombe dc
Baki na mtazamo wako ila ujue soon mafinga na njombe mtakuja kuchukulia dawa makambako na mafuda tpdc inajenga mantaki makubwa ya mafuta ndani ya dar tanga morogoro na makambako kusogeza huduma jirani utaelewa tTofautisha Miji ya kichuuzi na Miji ya wastaarabu iliyoendelea kwenye sekta zote kuanzia za kiuchumi Hadi huduma.Ukitaka ukweli angalia huduma za jamii baina ya hiyo Miji ndio utajua mji gani umeendelea na mji gani ni gulio sijui kuchangamka ndio kitu gani
Matanki hata Mbeya yapo Ila unaonaje maendeleo ya Mbeya vs Dodoma vs Iringa? Stuka maendeleo sio matanki ya mafuta.Baki na mtazamo wako ila ujue soon mafinga na njombe mtakuja kuchukulia dawa makambako na mafuda tpdc inajenga mantaki makubwa ya mafuta ndani ya dar tanga morogoro na makambako kusogeza huduma jirani utaelewa t
Basi yangejengwa hata Tabora jamaa🤣🤣🤣🤣Matanki hata Mbeya yapo Ila unaonaje maendeleo ya Mbeya vs Dodoma vs Iringa? Stuka maendeleo sio matanki ya mafuta
Mbeya bado hawajaanza hiyo kazi according to tpdc hizo nilizo kutajia ndo centre zitakazo toa huduma hiyo Ni moja ya vichocheo vya ukuaji mji na mapato pia kuongezeka Bei ya mafuta kushuka hasa eneo husika pia kumbuka wenye yard za kulaza magari nao watafaidika mahotel nkMatanki hata Mbeya yapo Ila unaonaje maendeleo ya Mbeya vs Dodoma vs Iringa? Stuka maendeleo sio matanki ya mafuta.
Kuna vigezo vinaangaliwa wanaangalia centre inayo unganisha mikoa mingi ili iwe rahisi kila mkoa kufikaBasi yangejengwa hata Tabora jamaa🤣🤣🤣🤣
Uzuri wa mji wa njombe hata ukiwa unapita barabarani asilimia 80 mji wote unaonekana haina haja hata ya kuelekezwa maana hata nyumba zilimoishia mapori yalimo anzia inaonekana tofauti na miji Kama makambako lazima utembee mitaan ndo utaujua mji vizuri ndo maana huwezi linganisha linier settlement na miji inayotanuka hata siku moja lazima uzidiwe tuHili gazeti limejaa mahaba zaidi kuliko uhalisia,Kama miji hiyo Ina sifa unazozitaja kwa nini hakuna hotel kali na nyingi si unadai Kuna pesa huko?
Mkuu hiyo miji umeitaja ndio sampuli ya Kahama yaani imejaa wachuuzi Kama gulioni,mambo ya idadi ya sheli sijui nini sio kigezo,,kwa mfano tufanye Makambako ina vituo vingi vya mafuta(sheli) kuliko Sumbawanga sasa nijibu je Makambako au Tunduma inaizidi Sumbawanga kwa kipi? Usilinganishe miji ya Njombe na Mafinga yenye Uchumi stable na ya wastaarabu Kama hayo magulio yakiongizwa na Kahama
Miji inajengwa kulingana na jiografia ya mji ulipo kwa mfano Mafinga inaambaa kulingana na barabara kuu,Njombe inajengwa kufuata barabara kubwa zote Ila huoni kwa sababu jiografia yake ni mabonde na milima na iko covered na uoto wa miti tofauti na Makambako ambayo ni tambarare na imejaa kipara,typical uchuuzi towns
Kahama inalinganishwa na nani sasa Hapa... Mpambane tu na Idodi huko...hamna mkuu tumeona wa kahama wamekimbia tumeamua kupiga stori wenyewe japo Mdatchu kazingua kwa kuhama mada.Mada ilikua NJOMBE/MAFINGA v KAHAMA yeye akaja na mtoto wa Njombe(Makambako) v Njombe.Nimeona amekosa adabu kabisa nikashindwa kuvumilia ha ha ha ha
Kahama Unaifahamu!? Au unaisikia!?Hili gazeti limejaa mahaba zaidi kuliko uhalisia,Kama miji hiyo Ina sifa unazozitaja kwa nini hakuna hotel kali na nyingi si unadai Kuna pesa huko?
Mkuu hiyo miji umeitaja ndio sampuli ya Kahama yaani imejaa wachuuzi Kama gulioni,mambo ya idadi ya sheli sijui nini sio kigezo,,kwa mfano tufanye Makambako ina vituo vingi vya mafuta(sheli) kuliko Sumbawanga sasa nijibu je Makambako au Tunduma inaizidi Sumbawanga kwa kipi? Usilinganishe miji ya Njombe na Mafinga yenye Uchumi stable na ya wastaarabu Kama hayo magulio yakiongizwa na Kahama
Miji inajengwa kulingana na jiografia ya mji ulipo kwa mfano Mafinga inaambaa kulingana na barabara kuu,Njombe inajengwa kufuata barabara kubwa zote Ila huoni kwa sababu jiografia yake ni mabonde na milima na iko covered na uoto wa miti tofauti na Makambako ambayo ni tambarare na imejaa kipara,typical uchuuzi towns
Haha ya ko mapato umejua yanatoka mashamban tu na misituni hata dar yamejaa maduka ndo miji ya biashara bwana lazima maduka yawe makubwa kahama imesha kidhi vigezo vya manispaa muda wote inatangazwa Ni kahama geita na kibaha according to tamisemi muwe mnafatilia mambao kujenga gorofa si kigezo Cha manispaa hata siku moja huenda mnauhaba wa ardhi tambalale Koo usi force kufanana gap Ni gap tuUnachekesha yaani kamji kamejaa vimaduka ndio kawe Manispaa? Kahama pamoja na kuwa na idadi kubwa ya watu bado haina hadhi ya Manispaa Kama ilivyo Shinyanga sababu ni uchuuzi town
Village and small towns zinakuwa always Linear (settlements) na Ni mpaka ziwe nuclear ndio zinaanza kuwa kubwa.Ukubwa ni takwimu za idadi ya watu,kata na mapato sio hadithi Wala macho yako yanavyoona,unaweza kuwa una makengeza
Unaongelea mji wa ng'ombe!? Au Mkoa wa njombe!?Njombe ni yatatu kiuchumi nchi nzima,,unaongea nini wewe au hauna takwimu,,tafuta Iringa na Songea katika list yako uje na jibu
Kabisa alafu unaanza kufananisha na miji inayo sambaa Yan kunawatu wanachekesha na mashaka na walim wao wa Geo Kama aliingia darasan huo ndo ukwel bro mnajiita mji halafu makazi yananyooka barabaran hivi hata mgeni anasema kanitembeze mnanyooka tu road et mjini duhVillage and small towns zinakuwa always Linear (settlements) na Ni mpaka ziwe nuclear ndio zinaanza kuwa kubwa.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mafinga ni pagumu tofauti na mbao ni sehemu ya hovyoNimekaa Mafinga mwaka ukiniambia nirudi pale kufanya maisha naweza nikakupiga kichwa...vumbi la pale kiboko miguu inakakamaa kama ngozi ya mamba
Tunduma, Makambako, Kahama ndio miji inayokuwa kwa kasi kwa juhudi za wananchi wafanyabishara njombe ni mji mkuu wa mkoa ndio kinaipa sifa ila Makambako ni habari nyingineAcha kuda
Acha kudanganya watu njombe yenye kata ya ramadhani kata ya njombe mjini na mji mwema umemaliza mjini nenda makambako unaanzia idofi kipagamo makambako centre mji mwema kivavi lyamkena kiumba unamalizia ikelu km 30 ukubwa wa njombe Ni upi zaidi ya vijiji mlivyonavyo 44 makambako mji umetawanyika sana upo vizuri wanaitumia vema jiografia yao ya tambalale