ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #18,001
Nzega ulinganishe na Makambako? Wewe ni mzima kweli?Kimsingi napitaga hapo makambako ni mji wa kawaida tu tena huwezi linganisha na kahama au hata nzega huko Tabora...
Hiyo plaza ni fremu tu hizo...
Hebu leteni vijiji vyenu kwanza tuvione maana sijawahi kuona mnapost vijiji
View: https://www.instagram.com/p/C1SiHfkNl8C/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Mbeya streetsEti maendeleo yanawakataa.... Maendeleo ni Nini kwanza tuanzie hapa...
Mimi nilitembelea huko kusini mwaka huu Bado Kuna umaskini mkubwa..huko ludewa Kuna vijiji havina Barbara kabisa na hata gari hawajahi ona...halafu eti ndo mkoa wenye kipato...kwanza una watu lakin saba tu sawa ni Wilaya tu ya muleba
Huku ndo muleba kama haya ndo maendeleo yanayowakataa wahaya then utakuwa unamatatizo
Tumempa doz Kali mno kaanza kuloose mambo anafananisha na vitu ambavyo hata havielewekiNzega ulinganishe na Makambako? Wewe ni mzima kweli?
Kumbe na we mwenzangu umeliona ndo maana jamaa nilimpiga swali kuwa mbona anatuonyesha vigorofa vifupi vifupi Kila siku miji inayo jitambua saiz imeanza kuweka vitu vyenye floor kuanzia nne kwenda juuZamani nilikuwa najua Bukoba ndio nzuri baada ya Mwanza kumbe ni trash tuu ππ
Naona Geita Iko vizuri kuliko Bukoba.
Just look 10 floors building and still counting
Well planned and organized View attachment 2853293
Nashangaa eti Kanzega ndio wanataka Kawe Makao Makuu ya Mkoa Mpya wakati hakuna Cha maana Bora hata Igunga.Tumempa doz Kali mno kaanza kuloose mambo anafananisha na vitu ambavyo hata havieleweki
Nisaidie namba ya huyo dada nimuulize kuhusu hilo jengo hapo.
Huu si mji wa Moshi? Naomba mitaa ya mbuyuni, stendi nk...nao huu mji umestack muda mrefu kimaendeleiZamani nilikuwa najua Bukoba ndio nzuri baada ya Mwanza kumbe ni trash tuu ππ
Naona Geita Iko vizuri kuliko Bukoba.
Just look 10 floors building and still counting
Well planned and organized View attachment 2853293
Lakini Geita ni nzuri kuliko BukobaHuu si mji wa Moshi? Naomba mitaa ya mbuyuni, stendi nk...nao huu mji umestack muda mrefu kimaendelei
Wew jamaa acha kujifungia huko kusini tembea uone
Kwa hiyo maghorofa marefu ndo maendeleo?Kumbe na we mwenzangu umeliona ndo maana jamaa nilimpiga swali kuwa mbona anatuonyesha vigorofa vifupi vifupi Kila siku miji inayo jitambua saiz imeanza kuweka vitu vyenye floor kuanzia nne kwenda juu
Gorofa ndefu zinasadi kubadili mwonekano wa CBD Za miji mfano huo wa dodoma cc ,mbeya cc na iringa wenzenu hawaja kumbatia magofu yaliyo achwa na wakolon wanavunja wanajenga vitu vipyaKwa hiyo maghorofa marefu ndo maendeleo?
Haki ndo maana nyinyi ni washamba na miji yenu iliyojaa slums na fremu...
Mnajenga maghorofa marefu Kwan hamna maeneo?
Bukoba mji una standard zake na zinafuatwa
Hili pembeni ni hotel ya nyota nne na ni ghorofa...ujenzi unaendelea mtaa wa miembeni
Nyie ni maskini hamna pesa za kujenga magorofa usituchishe na blaa blaa za kujifariji hapa.Kwa hiyo maghorofa marefu ndo maendeleo?
Haki ndo maana nyinyi ni washamba na miji yenu iliyojaa slums na fremu...
Mnajenga maghorofa marefu Kwan hamna maeneo?
Bukoba mji una standard zake na zinafuatwa
Hili pembeni ni hotel ya nyota nne na ni ghorofa...ujenzi unaendelea mtaa wa miembeni
Kukamilika Kwa daraja la Busisi kitaleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya uchumi ...Kwa kuunganisha Kigali na Nairobi kwenda bandari ya Mombasa.... MWANZA is strategic CityNyie ni maskini hamna pesa za kujenga magorofa usituchishe na blaa blaa za kujifariji hapa.
Sasa hapo Kuna tofauti gan na mulebaππ
Shida unapenda ku undermine miji mingine Wakati kwa ukongwe ulionao mji wa bukoba ilitakiwa ibishane na miji kama Moro ,iringa ,songea ,Moshi,sumbawanga ,tabora nk lakini Cha ajabu hadi saiz mnahangaika na miradi ambayo ilitakiwa itekelezwe miaka ya nyuma saiz ilikuwa ni wakati wa miji iliyoibuka miaka ya jilani kama kahama ,makambako,mafinga ,tunduma, na Geita na imeanza kufanya project ambazo hata bukoba hazipo mnaishia kujitetea na kuleta picha ya nyumba za vijijin Yan kwa Kanda ya ziwa Geita na kahama imesha washusha bukoba hamna jipyaSasa hapo Kuna tofauti gan na mulebaππ
Huu ni mji mdogo wa muleba km 70 kutoka Bukoba...
Kwa Kanda ya ziwa ukiitoa mwanza hakuna mji una majengo na maendeleo mengi kuliko Bukoba...ndo maana Bukoba Kuna second largest port, second populous Airport, Kuna good stadium, hospitals, shule nzr nk nk
Population tu Bukoba ndo inakopitwa ila kimaendeleo nop...
Geita yenyew haina stendi na Barbara za mtaa ni matope japo Kuna mgodi mkubwa tu hapo
Hii ni muleba
View: https://www.instagram.com/tv/Cyxj0sDtZVR/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Utasikia jamaa wa Bukoba fishing Village anauliza mnajenga magorofa marefu Ili iwaje ππππSasa hapo Kuna tofauti gan na mulebaππ
Huu ni mji mdogo wa muleba km 70 kutoka Bukoba...
Kwa Kanda ya ziwa ukiitoa mwanza hakuna mji una majengo na maendeleo mengi kuliko Bukoba...ndo maana Bukoba Kuna second largest port, second populous Airport, Kuna good stadium, hospitals, shule nzr nk nk
Population tu Bukoba ndo inakopitwa ila kimaendeleo nop...
Geita yenyew haina stendi na Barbara za mtaa ni matope japo Kuna mgodi mkubwa tu hapo
Hii ni muleba
View: https://www.instagram.com/tv/Cyxj0sDtZVR/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
HII miundombinu ili iwe na tija huwa Ina tegemea bidhaa Gani zinatoka wapi kwenda wapi na njia ipo ni short cut hapo lazima iwe nΓ tijaKukamilika Kwa daraja la Busisi kitaleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya uchumi ...Kwa kuunganisha Kigali na Nairobi kwenda bandari ya Mombasa.... MWANZA is strategic City
View attachment 2853391
Naomba umetaja miji kibao sijui Morogoro, sumbawanga, Tabora,iringa, Moshi...Shida unapenda ku undermine miji mingine Wakati kwa ukongwe ulionao mji wa bukoba ilitakiwa ibishane na miji kama Moro ,iringa ,songea ,Moshi,sumbawanga ,tabora nk lakini Cha ajabu hadi saiz mnahangaika na miradi ambayo ilitakiwa itekelezwe miaka ya nyuma saiz ilikuwa ni wakati wa miji iliyoibuka miaka ya jilani kama kahama ,makambako,mafinga ,tunduma, na Geita na imeanza kufanya project ambazo hata bukoba hazipo mnaishia kujitetea na kuleta picha ya nyumba za vijijin Yan kwa Kanda ya ziwa Geita na kahama imesha washusha bukoba hamna jipya