Naona huko Bukoba mmeamka sasa! Safii sana!Waache na takwimu zao za kupika za serikali..nani hajui Tz hii hatuko serious na takwimu...
Kwa ground ni different
Huko Bukoba watu wanajenga majumba Kila kukicha
Wao wanadai Wana hela lakin hatuoni expenditure zao
Nani kakwambia mji hawajengi maghorofa? Wew unafikiri maghorofa 700 yanatoka wap Bukoba?
Mambo ya kawaida hayo na Wala sio vitu vya kupost...tunataka vijijini
Pale mtu anajifariji baada ya takwimu kuongea Kila ambacho hakipwndi π€£π€£Waache na takwimu zao za kupika za serikali..nani hajui Tz hii hatuko serious na takwimu...
Kwa ground ni different
Huko Bukoba watu wanajenga majumba Kila kukicha
Wao wanadai Wana hela lakin hatuoni expenditure zao
Nani kakwambia mji hawajengi maghorofa? Wew unafikiri maghorofa 700 yanatoka wap Bukoba?
Mambo ya kawaida hayo na Wala sio vitu vya kupost...tunataka vijijini
Wacha maneno kijana leta nyumba za kijijini kwenu ama mnaogopa kurogwa mkijenga kijijini kwenu π€£π€£!! Bk town huwezi linganisha na Kijiji cha wakulima sumbawanga ππPale mtu anajifariji baada ya takwimu kuongea Kila ambacho hakipwndi π€£π€£
Kuna sehemu Nchi hii watu hawajengi majumba? Si ni nyie hapo tuliweka magorofa yanayoporomoshwa Miji ya Nyanda za Juu Kusini mkaanza kulia Lia eti tunajenga magorofa marefu ya kazi gani? ππ
Bukoba fishing Village Iko nyuma sana,ongezeni Juhudi labda mtaikaribia Sumbawanga ππ
Hiyo ni hospitali au zahanati??
OmHiyo ni hospitali au zahanati??
HaisomekiPlan za mkoa wa njombe zinaendelea kutekelezwa
View attachment 2864171
Haisomeki
Acha wivu na Mbeya hata kama huipendi ila mjini Kwa Sasa ni Mwanjelwa Wala hakuna ubishi Kwa Hilo.Miji inakaa hiv...A town should have proper city centre and downtown...sio unafika mji flani hujui hata mjini ni wap...
Na hapa hawajetengeza Barabara za mjini kati ambazo nazo zinatengenezwa mwakani..
Kwa Tanzania miji ya zamani ndo Iko hiv na ina mionekano ya Mji kwa sabahu ilipangwa..
Hapo mjini Kuna mfumo wa majitaka,majisafi na mji unatakiwa kuwa na public park..ambayo Bukoba inazo mbili sasa
Bukoba downtown...
Dragon mabati Kwa Njombe bila shaka ana kiwanda Makambako si ndio mdau?
Ndio ni sahihiDragon mabati Kwa Njombe bila shaka ana kiwanda Makambako si ndio mdau?View attachment 2864185