ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #18,141
Acha wivu na Mbeya hata kama huipendi ila mjini Kwa Sasa ni Mwanjelwa Wala hakuna ubishi Kwa Hilo.
Ila tuu inatakiwa waongeze Kasi ya ujenzi wa magorofa,Kwa hadhi ya Jiji kuwa na projects 6 tuu Kwa mwaka tena kuanzia Mbalizi-Uyole haitoshi.
View attachment 2864186View attachment 2864187View attachment 2864188
Kwenye viwanda Mbeya inafanya vizuri sana nimeona viwanda vipya vya Mabati na rangi mfano Kiboko,Taishan na Drago View attachment 2864184
Acha wivu na Mbeya hata kama huipendi ila mjini Kwa Sasa ni Mwanjelwa Wala hakuna ubishi Kwa Hilo.
Ila tuu inatakiwa waongeze Kasi ya ujenzi wa magorofa,Kwa hadhi ya Jiji kuwa na projects 6 tuu Kwa mwaka tena kuanzia Mbalizi-Uyole haitoshi.
View attachment 2864186View attachment 2864187View attachment 2864188
Kwenye viwanda Mbeya inafanya vizuri sana nimeona viwanda vipya vya Mabati na rangi mfano Kiboko,Taishan na Drago View attachment 2864184
KuMekucha tenaππππ Haya majamaa Huwa ni machafu sana
View: https://www.instagram.com/p/C1ys_XlN1gt/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Nyinyi ndo mnajisifia mabasi ππAcha wivu na Mbeya hata kama huipendi ila mjini Kwa Sasa ni Mwanjelwa Wala hakuna ubishi Kwa Hilo.
Ila tuu inatakiwa waongeze Kasi ya ujenzi wa magorofa,Kwa hadhi ya Jiji kuwa na projects 6 tuu Kwa mwaka tena kuanzia Mbalizi-Uyole haitoshi.
View attachment 2864186View attachment 2864187View attachment 2864188
Kwenye viwanda Mbeya inafanya vizuri sana nimeona viwanda vipya vya Mabati na rangi mfano Kiboko,Taishan na Drago View attachment 2864184
Sawa ila Sasa ππNyinyi ndo mnajisifia mabasi ππ
Imagine huyu ni muhaya mmoja na mabus yake ya shule...
View: https://twitter.com/djnsajigwa/status/1744221585429475534?s=19
Siku zote unatafutaga njia ya kkukimbiπ€£π€£π€£!!! Umeona kwenye mabasi hapo umepigwa kitu kizito ukakwepa πππ!! Kusini nzima hakuna wa kusogeza pua kwa kaiziregeSawa ila Sasa ππView attachment 2865424
Mabasi tena ,Mbeya ndio homeSiku zote unatafutaga njia ya kkukimbiπ€£π€£π€£!!! Umeona kwenye mabasi hapo umepigwa kitu kizito ukakwepa πππ!! Kusini nzima hakuna wa kusogeza pua kwa kaizirege
Ni uchafu tu kwa mabasi ya shuleπ...
Unasema?Ni uchafu tu kwa mabasi ya shuleπ...
Kwanza yanamilikiwa na wachina...
Ndo maana Huwa tunawashangaa mnapojisifia sijui matajiriπ