Haya Sasa hii zone ya makambako inaenda kutengeneza mji mkubwa Sana nyanda za juu kUsini maana tayari makazi yameanza kuungana Na sub town za wangingombe ,Halali , ilembula, igwachanya na mtwango baada ya kuliona Hilo mkuu wa mkoa na wakurugenzi husika wamekuja na plan ambazo zitakuza zaidi mapato na Barabara ambazo zingine tayar wameweka lami kuweka haya ndo maono Cha ya mkoa wa njombe whttps://youtu.be/XzZJG0JpkdI?si=ktYyThroTKGkxkj5https://youtu.be/XzZJG0JpkdI?si=ktYyThroTKGkxkj5https://youtu.be/XzZJG0JpkdI?si=ktYyThroTKGkxkj5https://youtu.be/XzZJG0JpkdI?si=ktYyThroTKGkxkj5