Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Mtajifariji Sana kwa political status lakini haipunguzi idadi ya maskini hapo KahamaKahama ni zaidi ya Njombe+Mafinga+Makambako
Weka picha acha hadithi za pauka pakawaHuijui Kahama wewe! Nenda katembelee hapo mpaka ndege za abiria zinatua hapo mara 3 kwa wiki. PRECISION AIR.
Kinajengwa,huku we have already operational viwanda kwenye sekta zote kuanzia diary, agriculture Hadi timber industry sasa nyie mnatambaaKiwanda cha billion 159 kinajengwa na mzawa tena kwenye eneo la watu masikini eti?
Kinajengwa,huku we have already operational viwanda kwenye sekta zote kuanzia diary, agriculture Hadi timber industry sasa nyie mnatambaa
Idadi ya Matajiri Njombe ni wengi kuliko hao machinga mnaoona ndio wenye pesa hapo kwenu Kahama eti bln 159,,Njooni Njombe mtoe tongotongo nyie maskini wa migodini
Manispaa uchwara hiyo imejaa maskini ndio ilinganishwe na Njombe? Tupia picha za magorofa tuoneKahama ni Manispaa kabla ya Geita, Acha kulinganisha KAHAMA na vitu vya kijinga. Nakushauri ufungue Uzi wa Geita Vs Njombe. Hii ya KAHAMA mshindi katangazwa leo 28/01/2021 na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Hata Mpanda au Lindi ni Manispaa lakini kote huko ni vijiji vilivyojaa maskini kama Kahama tuuJPM kakujibu leo
New baby in town, Bukoba ni Manispaa tokea enzi hizo lakini haijawahi ifikia hii sehemu (KAHAMA)Hata Mpanda au Lindi ni Manispaa lakini kote huko ni vijiji vilivyojaa maskini kama Kahama tuu
Ongeza sautiiiNew baby in town, Bukoba ni Manispaa tokea enzi hizo lakini haijawahi ifikia hii sehemu (KAHAMA)
View attachment 1688520
Wewe umechanganyikiwa na kiminyo cha covid ,Njombe na Mafinga zimekuwa Town councils kabla ya kuanzishwa Mikoa na Kahama ilizitangulia ndio zikafuata ko huwezi sema eti zimekuwa kisiasa.Haafu unalinganisha manispaa zilizokuwa kwa nguvu za kisiasa (makao makuu ya mkoa) na halimshauri ya mji iliyokuwa kwa potential yake yenyewe [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Huyo anaewafariji nyie manamba wa huko Kahama ila ukweli mnaujua,Hadi leo hii mnashindwa kuweka picha mnaleta empty words tuusikiliza kipande cha Magu
Heeehhhh! Mwaka Jana TAMISEMI walipendekeza Halmashauri tatu kuwa Manisipaa GEITA, KAHAMA na KIBAHA. huko GEITA si ndio kitovuni kwenyewe lakini mpaka leo TC kama NJOMBE tu, π π π πWewe umechanganyikiwa na kiminyo cha covid ,Njombe na Mafinga zimekuwa Town councils kabla ya kuanzishwa Mikoa na Kahama ilizitangulia ndio zikafuata ko huwezi sema eti zimekuwa kisiasa.
Miji ya kisiasa ni kama Kahama ilivyotangazwa tuu lakini haina quality hiyo zaidi ya kujaza maskini na machinga na wachuuzi tuu
Sipo KAHAMA ningekuepo server ya Jamii Forum ingekuwa nzito sana leo.Huyo anaewafariji nyie manamba wa huko Kahama ila ukweli mnaujua,Hadi leo hii mnashindwa kuweka picha mnaleta empty words tuu
Hao akina BK ndio saizi yenu sasa achana kabisa na miji ya wachapa kazi ya Njombe na MafingaNew baby in town, Bukoba ni Manispaa tokea enzi hizo lakini haijawahi ifikia hii sehemu (KAHAMA)
View attachment 1688520
Sasa kwa nini hiyo political status haiisaidii njombe kua manispaaMtajifariji Sana kwa political status lakini haipunguzi idadi ya maskini hapo Kahama
Mimi ni mtu wa tanga nimefika kahama January hii hakika kahama inazizidi baadhi ya manispaa kwa mzunguko wa fedha na wanajenga nyumba za kisasa sana na mabenk ni mengi + supermarket, nashindwa kuelewa hao wana njombe sijui wanatumia kigezo gani kuilinganisha na kahama, naona wengi wameng'ang'ania hoja ya maskini wengi ingawa sijaona viashiria vingi vya umaskini kahama, by the way hata dar maskini ni wengi kwa iyo tuseme dar hamna kituWewe umechanganyikiwa na kiminyo cha covid ,Njombe na Mafinga zimekuwa Town councils kabla ya kuanzishwa Mikoa na Kahama ilizitangulia ndio zikafuata ko huwezi sema eti zimekuwa kisiasa.
Miji ya kisiasa ni kama Kahama ilivyotangazwa tuu lakini haina quality hiyo zaidi ya kujaza maskini na machinga na wachuuzi tuu
Nipo Dar kimaisha, sehemu nyingi DAR ni bora hata Kahama, uwezi linganisha Keko , Vingunguti na Nyihogo, Majengo au Igomelo ya Kahama.Mimi ni mtu wa tanga nimefika kahama January hii hakika kahama inazizidi baadhi ya manispaa kwa mzunguko wa fedha na wanajenga nyumba za kisasa sana na mabenk ni mengi + supermarket, nashindwa kuelewa hao wana njombe sijui wanatumia kigezo gani kuilinganisha na kahama, naona wengi wameng'ang'ania hoja ya maskini wengi ingawa sijaona viashiria vingi vya umaskini kahama, by the way hata dar maskini ni wengi kwa iyo tuseme dar hamna kitu
Aliyejiskia kutamka anaweza kwenda Njombe na akatamka kuwa ni Manispaa kwani si inategemea na alivyoamka au?Sasa kwa nini hiyo political status haiisaidii njombe kua manispaa
Utajiri hata uwanja wa ndege hamna???? π π π πAliyejiskia kutamka anaweza kwenda Njombe na akatamka kuwa ni Manispaa kwani si inategemea na alivyoamka au?
Afu sio lazima iwe Manispaa sisi tunafoxus na utajiri sio ujinga wa sijui Manispaa sijui nn wakati haviwaletei ugali mezani mnazidi kuwa maskini
Takwimu za idara ya Taifa ya Takwimu sio sisi.Kuwa na vibanda vingi vilivyosongamana sio maendeleo ni dalili ya maskini na maisha ya hovyo ya kuunga ungaMimi ni mtu wa tanga nimefika kahama January hii hakika kahama inazizidi baadhi ya manispaa kwa mzunguko wa fedha na wanajenga nyumba za kisasa sana na mabenk ni mengi + supermarket, nashindwa kuelewa hao wana njombe sijui wanatumia kigezo gani kuilinganisha na kahama, naona wengi wameng'ang'ania hoja ya maskini wengi ingawa sijaona viashiria vingi vya umaskini kahama, by the way hata dar maskini ni wengi kwa iyo tuseme dar hamna kitu