Lakini njombe nayo inakua kwa kasi kwa wale tulio wahi kufika hivi karibuni angalia hata stend soko kuu sio pakubeza kahama soko la hovyo stend ya hovyo.Hivi idadi ya matawi ya Bank zilizoko Kahama unaweza linganisha na ubaridini (Njombe)?
Ni kwamba tu Saidi Salim Bakhresa kaisha hamua kuweka mizizi Kahama. Watakuja wengine kutoka NjombeKahama ni Soko.. na strategically hakuna mji uko katikati ya the greater east Afrika zaidi ya Kahama let that sink..
Ujenzi wa the biggest smelting plant kwa Afrika ya Mashariki na kati umezingatia hilo... Ndio maana bila kushurutishwa Wabia wa miradi wamechagua Kahama..
Muwekezaji wa Kahama kwenye uzalishaji ana advantage kubwa yakifikia soko kubwa zaidi (Market catchment) umbali wa kilomita 600 both directions kutokea Kahama unakuwa kwenye miji mikubwa mingi ikiwemo Kisumu, Kigoma, mwanza, bukoba, kigali, Bujumbura, Kampala, Dodoma, tabora nk.
Kuna mtu anauliza 70m USD manufacturing establishment unaenda kufanya nn, kwa kifupi soko liko.. kubwa.. kama jambo kapenetrate kiasi cha kuififisha Azam na Kilimanjaro kanda ya ziwa unadhani nn kinashindikana!?
Kwa kifupi hata watu kuamua kwenda kufanyia hayo magendo Kahama ilikuwa ni kwa sababu.. kwamba isiwe Nzega au tinde !? Kwa ss Kahama imekuwa destination Town.. ni yenyewe ndio inayogenerate trips sio kutegemea wanaopita.
Wafanyabishara wengi wa burundi na Rwanda tayari wamekwisha anza kushuka Kahama na kugeuza kwa mahitaji mengi.. na mawakala wakubwa wa wazalishaji wakubwa nchini wamekwisha anza kuchukua position...
Najua mpaka muone barabara za mataa na magorofa ndio mnaona mji wa maana... Juzi tu Arusha Mianzini na Iringa miyomboni yalikuwa mahandaki.. it takes one move and all that is gone... and that move ndiyo iliyofanyika jana... Hushtuki ugeni mkubwa kiasi kile kwa mji wa hovyo!?
Kahama imekwisha vuka threshold hakuna namna it will ever be doomed... Ndio lishawaka hilo inakwenda na itafika... Same case ya Moshi na Arusha...inajirudia.. de javu
Njombe ni promising town hakuna wa kuhama ila kuhamia kutoka else where,Huyo mwarabu hapo anajaribu kufanya kitovu cha kuzifikia nchi jiraniNi kwamba tu Saidi Salim Bakhresa kaisha hamua kuweka mizizi Kahama. Watakuja wengine kutoka Njombe
Kidogo umeongea point but huo mji wenu ukiendelea kubaki hivyo bila kujengwa majengo ya ghorofa utazidi kudharauliwa maana nakumbuka hata Mbeya City ilikuwa haina hata gorofa marefu ya ku justify City stutus kibongo bongo watu wakawa wanaita Kijiji kikubwa but nowdays is changing na majengo marefu yanajengwa both na government na private sectorKahama ni Soko.. na strategically hakuna mji uko katikati ya the greater east Afrika zaidi ya Kahama let that sink..
Ujenzi wa the biggest smelting plant kwa Afrika ya Mashariki na kati umezingatia hilo... Ndio maana bila kushurutishwa Wabia wa miradi wamechagua Kahama..
Muwekezaji wa Kahama kwenye uzalishaji ana advantage kubwa yakifikia soko kubwa zaidi (Market catchment) umbali wa kilomita 600 both directions kutokea Kahama unakuwa kwenye miji mikubwa mingi ikiwemo Kisumu, Kigoma, mwanza, bukoba, kigali, Bujumbura, Kampala, Dodoma, tabora nk.
Kuna mtu anauliza 70m USD manufacturing establishment unaenda kufanya nn, kwa kifupi soko liko.. kubwa.. kama jambo kapenetrate kiasi cha kuififisha Azam na Kilimanjaro kanda ya ziwa unadhani nn kinashindikana!?
Kwa kifupi hata watu kuamua kwenda kufanyia hayo magendo Kahama ilikuwa ni kwa sababu.. kwamba isiwe Nzega au tinde !? Kwa ss Kahama imekuwa destination Town.. ni yenyewe ndio inayogenerate trips sio kutegemea wanaopita.
Wafanyabishara wengi wa burundi na Rwanda tayari wamekwisha anza kushuka Kahama na kugeuza kwa mahitaji mengi.. na mawakala wakubwa wa wazalishaji wakubwa nchini wamekwisha anza kuchukua position...
Najua mpaka muone barabara za mataa na magorofa ndio mnaona mji wa maana... Juzi tu Arusha Mianzini na Iringa miyomboni yalikuwa mahandaki.. it takes one move and all that is gone... and that move ndiyo iliyofanyika jana... Hushtuki ugeni mkubwa kiasi kile kwa mji wa hovyo!?
Kahama imekwisha vuka threshold hakuna namna it will ever be doomed... Ndio lishawaka hilo inakwenda na itafika... Same case ya Moshi na Arusha...inajirudia.. de javu
HapoHata kauzibe kawekwaje Njombe itakuwa na kuzipita Iringa na Songea ndani ya miaka 10-15 ijayo, ule ni mkoa wa fursa na wachapakazi.
Shinyanga sio kwamba inapendelewa, hapana ilisha consolidate position yake miaka mingi kabla ya migodi Kahama ilikuwa kijiji wakati tayari shy ni mji mkubwa na pili shy ina fursa ya kujengwa viwanda coz iko tambarare na iko jirani na Mwanza.
Wasukuma washamba eti hahahhaaaaaaaMi kahama nilikuepo juz nimeenda mpaka migodin wala hapana maajabu, sema wasukuma walivo wabish na washamba watabisha[emoji16]
Kwan uongo,si ndo wanaongoza tz[emoji3]Wasukuma washamba eti hahahhaaaaaaa
Manisipaa ijayo ni Njombe aisee π π πKwan uongo,si ndo wanaongoza tz[emoji3]
Mkuu unamaanisha kahama manispaa.Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Ni jambo kubwa sana hili . Nadhani ni Wilaya pekee Tanzania kuwa Halmashauri ya Manispaa nje ya Makao Makuu ya Mkoa. Kitu ambacho Njombe hawatakii π π π πMkuu unamaanisha kahama manispaa.
Au ubongo wangu umetoroka
[emoji16][emoji3][emoji3]Manisipaa ijayo ni Njombe aisee [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Labda iringa iizidi bukoba kwa maghorofa marefu. Ambayo bukoba sio kwamba inashindwa kuwa nayo but unajua tetemeko lililotokea 2016Miji ya kichuuzi kama Kahama huwezi kuta quality ya life kama BK au Njombe ,watu wanaishi bila utaratibu ilimradi bora liende
Usirudie tena kusema Vimji vya huko Kusini labda uvitaje but Iringa tuu huwezi linganisha na hicho Kijiji cha Bukoba kwa kila kitu
Tofautisha makao makuu ya mkoa na mji kama Kahama!K
Lakini njombe nayo inakua kwa kasi kwa wale tulio wahi kufika hivi karibuni angalia hata stend soko kuu sio pakubeza kahama soko la hovyo stend ya hovyo.
Kwani uongo,tuna sifa zote kupita Kahama ambayo imetuzidi sifa ya wingi wa maskini na machinga tuuManisipaa ijayo ni Njombe aisee [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ukishindwa kubari usaidiwe,hizo nyimbo za sijui tetemeko sijui nini ni visingizio vya kutapatapa,vilikuwepo Mbeya way back kwamba eti mwisho wa urefu wa majengo ya ghorofa ni 2 lakini mda na pesa vime prove wrong hiyo dhana uchwara ,as we speak kuna 2 buildings with 10 floors ,1 ya serikali na kingine la private with many others Kati ya 4-7Labda iringa iizidi bukoba kwa maghorofa marefu. Ambayo bukoba sio kwamba inashindwa kuwa nayo but unajua tetemeko lililotokea 2016
Lakin mambo mengi ni Sawa Tu sema bukoba ni mji wa bata sana beaches clubs utulivu ukijani nk. Elimu na quality of life pia bukoba iko juu kuanzia mjini mpaka vijijini Magu mwenyew alizibitisha hilo
Sasa huu ni utoto na ufinyu wa kufikiri,haya ndio madhara ya kushindia kula michembe na mapanki kutwa mara 4.Tofautisha makao makuu ya mkoa na mji kama Kahama!
Huyu mtu mfupi kutoka Njombe nimeanza kubishana naye toka uzi huu anauanzisha!
Miradi mingi mikubwa na ya kimkakati haipelekwi Wilayani bali makao makuu ya Mikoa!
Wajenge stendi kuu ya mabasi nzuri Kahama na Shinyanga wakajenge nini?
Wajenge soko zuri la lenye hadhi Kahama Shinyanga wakajenge nini?
Grow up dude
Kama mzizi upi kwa mfano...Ni kwamba tu Saidi Salim Bakhresa kaisha hamua kuweka mizizi Kahama. Watakuja wengine kutoka Njombe
Kahama ilikua zamani sio sasa,Mi kahama nilikuepo juz nimeenda mpaka migodin wala hapana maajabu, sema wasukuma walivo wabish na washamba watabisha