Kahama ni Soko.. na strategically hakuna mji uko katikati ya the greater east Afrika zaidi ya Kahama let that sink..
Ujenzi wa the biggest smelting plant kwa Afrika ya Mashariki na kati umezingatia hilo... Ndio maana bila kushurutishwa Wabia wa miradi wamechagua Kahama..
Muwekezaji wa Kahama kwenye uzalishaji ana advantage kubwa yakifikia soko kubwa zaidi (Market catchment) umbali wa kilomita 600 both directions kutokea Kahama unakuwa kwenye miji mikubwa mingi ikiwemo Kisumu, Kigoma, mwanza, bukoba, kigali, Bujumbura, Kampala, Dodoma, tabora nk.
Kuna mtu anauliza 70m USD manufacturing establishment unaenda kufanya nn, kwa kifupi soko liko.. kubwa.. kama jambo kapenetrate kiasi cha kuififisha Azam na Kilimanjaro kanda ya ziwa unadhani nn kinashindikana!?
Kwa kifupi hata watu kuamua kwenda kufanyia hayo magendo Kahama ilikuwa ni kwa sababu.. kwamba isiwe Nzega au tinde !? Kwa ss Kahama imekuwa destination Town.. ni yenyewe ndio inayogenerate trips sio kutegemea wanaopita.
Wafanyabishara wengi wa burundi na Rwanda tayari wamekwisha anza kushuka Kahama na kugeuza kwa mahitaji mengi.. na mawakala wakubwa wa wazalishaji wakubwa nchini wamekwisha anza kuchukua position...
Najua mpaka muone barabara za mataa na magorofa ndio mnaona mji wa maana... Juzi tu Arusha Mianzini na Iringa miyomboni yalikuwa mahandaki.. it takes one move and all that is gone... and that move ndiyo iliyofanyika jana... Hushtuki ugeni mkubwa kiasi kile kwa mji wa hovyo!?
Kahama imekwisha vuka threshold hakuna namna it will ever be doomed... Ndio lishawaka hilo inakwenda na itafika... Same case ya Moshi na Arusha...inajirudia.. de javu