Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Pitia uzi, kuna link za YouTube team ya uwekezaji ya SSB wakiwa KahamaKama mzizi upi kwa mfano...
Mwenyew nilishafika kule, yaan nasoma humu nabaki kushangaa tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi kahama nilikuepo juz nimeenda mpaka migodin wala hapana maajabu, sema wasukuma walivo wabish na washamba watabisha[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi baas lol, sjui nimewaza nn hapa.Tofautisha makao makuu ya mkoa na mji kama Kahama!
Huyu mtu mfupi kutoka Njombe nimeanza kubishana naye toka uzi huu anauanzisha!
Miradi mingi mikubwa na ya kimkakati haipelekwi Wilayani bali makao makuu ya Mikoa!
Wajenge stendi kuu ya mabasi nzuri Kahama na Shinyanga wakajenge nini?
Wajenge soko zuri la lenye hadhi Kahama Shinyanga wakajenge nini?
Grow up dude
Iringa kwa kitu gani Bro, ambacho Iringa inaizidi Bukoba ni Makumbusho ya Mkwawa na Uwepo wa vyuo Vikuu basii....ebu tupe Ratiba z Ndege hapo Iringa...Miji ya kichuuzi kama Kahama huwezi kuta quality ya life kama BK au Njombe ,watu wanaishi bila utaratibu ilimradi bora liende
Usirudie tena kusema Vimji vya huko Kusini labda uvitaje but Iringa tuu huwezi linganisha na hicho Kijiji cha Bukoba kwa kila kitu
Ukiondoa wilaya zote zilizopo kwenye majiji ya Dar na Mwanza..wilaya za pembeni zote hakuna iliyo mfano wa Kahama nchi nzima.Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Wanajipigia debe sana,,kahama ilukua zamani,sio sasa...Mwenyew nilishafika kule, yaan nasoma humu nabaki kushangaa tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi takwim zinahaitaji uthibitisho. Pamoja na ukweli kuwa Kahama iko vizuri, kwa Takwim za watu hao basi ilicheleweshwa kuwa Manispaa. Hii inaweza kuwa sawa na Tunduma, ambako popolation ni kubwa sana hasa mchanaKwahiyo ushetu na msalala kuna watu 900,000 kwahiyo hesabu ya 1.2
Yaan kahama hii nayoijua mie, ndo inapigwa promo hivi nabaki kuduwaa tyuuh. Yaan wasukuma hapana kwa kweli lol.Wanajipigia debe sana,,kahama ilukua zamani,sio sasa...
Kinachotokea hazijatolewa makusanyo ya kila mji ili kujua ukweli. Na makusanyo hayo yawe ya Domestic(isiwe zile za Makampuni ya Wazungu ya madini), naweza nikasema Njombe na Kahama, bado Njombe ni bora sana, sekta ya madini imeibeba Kahama. Kwa ufupi Kahama kiukubwa haipishani sana na Mafinga au Tunduma(miji iliyokua kwa sababu ya ukubwa wa biashara)Maghorofa sio ukubwa wa mji.. unakaulimbukeni design.. hahahaha
"Njombe + Mafinga + Makambako ndio Kahama moja.".. Chukua hiyo statement peleka bank.. nakuahidi unakopesheka.
Usemalo ndio ukweli,takwimu hizo ni kubwa sana istoshe kahama mji peke yake inaweza kufikisha wakazi laki 5 mana inaanzia kagongwa...pia muingiliano wa watu ni mkubwa sana malori yote ya kwenda magharibi yanapita hapoHizi takwim zinahaitaji uthibitisho. Pamoja na ukweli kuwa Kahama iko vizuri, kwa Takwim za watu hao basi ilicheleweshwa kuwa Manispaa. Hii inaweza kuwa sawa na Tunduma, ambako popolation ni kubwa sana hasa mchana
Kahama inabebwa na biashara ya mpunga na madini,mpunga,maduka,viwanda vya kuchenjua dhahabu,vituo vya mafuta vinaweza kufika 100Kinachotokea hazijatolewa makusanyo ya kila mji ili kujua ukweli. Na makusanyo hayo yawe ya Domestic(isiwe zile za Makampuni ya Wazungu ya madini), naweza nikasema Njombe na Kahama, bado Njombe ni bora sana, sekta ya madini imeibeba Kahama. Kwa ufupi Kahama kiukubwa haipishani sana na Mafinga au Tunduma(miji iliyokua kwa sababu ya ukubwa wa biashara)
Usiisahau Masasi mdau, Korogwe na Katoro.Wewe labda unahangaishwa na mahaba ya kijinga ya huko kwenu,kwamba Paris kuna maskini wengi kuliko Dar huu ni utoto weka ushahidi hapa.
Pili ratio ya maskini na wenye nafuu ndio inaifanya Njombe kuwa bora kuliko Kahama kwenye kila nyanja ya social services na economic development hilo linajidhihirisha kwa ubora wa makazi ikiwemo magorofa,narudia magorofa
Tatu Kuhusu mapato Khm sio tajiri kushinda Geita au Miji mingine yenye mapato kushinda Kahama tofauti ni ubunifu wa DED na madiwani kuelekeza mapato kwenye miradi ambayo itazalisha zaidi mapato au kutoa huduma kwa umma ,hicho ndio kimemkuna Rais na si kwamba eti Kahama inajitegemea kwa mapato hilo halipo imefanya tu kama Dom wanaojenga mahoteli sijui parking nk kwa mapato ya ndani.
Hata hivyo mapato ya Njombe kuwa sasa ni around 4.5 bln ikiwa juu ya Manispaa nyingi tuu na ni Kati ya miji mi 5 yenye mapato makubwa kwa Tzn na hili limeifanya Njombe kufanya miradi kama ya kujitegemea kwa mfano kujenga vituo vya afya na shule kulingana na kipaombele,ref.ziara ya Jafo mwanzo wa January hii alivyomwaga masifa kwa Njombe.
Mara nyingi huwa nasema growth rate ya shughuli za kiuchumi kwa Kahama na Njombe ni tofauti Kahama iko kwenye maturity stage wakati huku Njombe ndio kwanza fursa zinafunguliwa ,ukiangalia mapato ya Kahama kwa miaka mingi yako around 4-6 bln wakati kwa Njombe ni from 2 bln to 4bln over the last 5 years ko Unapata picha kwamba ndani ya miaka hii mitano tutamatch au kuvuka hiyo ya Kahama just tu kama Geita ilivyowapita.
Watch out miji hii hapa,Njombe,Mafinga,Tunduma,Chalinze,Mbinga na Ifakara inakuja kwa Kasi huku Njombe tukiwa front ya hao wote niliowataja so is just a matter of time
Tunduma munaiweza?Ukiondoa wilaya zote zilizopo kwenye majiji ya Dar na Mwanza..wilaya za pembeni zote hakuna iliyo mfano wa Kahama nchi nzima.
Stand ya Mabasi madogo na kituo cha kushusha mizigo ya malori - KahamaTunduma munaiweza?
Ni kwa vile tu mambo ya Kiusalama haiswihi kuweka mji mubwa Tunduma,lakini jmaaa wako juu sana, kwenye hilo tutabishana hadi mwisho.
Nguo kahma sawa,,chips usijaribu kule wanakula ugali sana,,matunda matunda,vyuku etc nenda singida,Kwahiyo wakuu, mji wenye fursa kwa vijana wanaoanza maisha wenye biashara ndogondogo kama (kuuza nguo,bodaboda,kuuza chips,kutembeza matunda etc) ......kati ya Njombe na Kahama ni upi?
Hujui kitu, tofauti ya Kahama na Njombe kwenye barabara kuu ni hii, na bado Ilani ya Chama tawala miradi ya kuinganisha Kahama na Wilaya nyingine ni mingi kuliko hata Njombe yenyewe. Tunaanza na taarifa za google kuhusu mtandao wa barabara kuu zenye lami na uhakika wa lami kati ya Njombe na Kahama.Duuuh Kahama hata barabara za mitaa shida. Ukianzia Iringa hadi unaingia Mbeya ni ulaya Africa ile.
Nimeangalia hizo picha nikaona worth nothing, hazina chochote cha kujivunia au kufanya ulinganifu.Stand ya Mabasi madogo na kituo cha kushusha mizigo ya malori - Kahama View attachment 1689745
Stand Kuu ya Kahama, ambayo inahamishiwa nje ya mji, kutoka katikati mwa mji
View attachment 1689747
Mchoro wa stand mpya Kahama itakavyokuwa
View attachment 1689749View attachment 1689750
Parking ya Malori Kahama
View attachment 1689752
Stand ya Mabasi Tunduma
View attachment 1689753
Stand ya mabasi Njombe
View attachment 1689754
Ni kweli hazina kitu, above all details matters 😄 😄 😄Nimeangalia hizo picha nikaona worth nothing, hazina chochote cha kujivunia au kufanya ulinganifu.