ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #19,601
Tanzania Ina watu wengi kuzidi Singapore lakini je mnafanya biashara kuwazidi?Sasa bila watu utafanya biashara na wanyama ?
Wewe unaanzisha mada kuleta mabishano ya kijinga .. Unapenda kusifia maeneo ya kwenu.. hayo maeneo ya Wabena yaliyozungukwa na umasikini mkubwa wanaotegemea kwenda kufanya vibarua bonde la usangu kwenye mashamba ya mpunga..Tanzania Ina watu wengi kuzidi Singapore lakini je mnafanya biashara kuwazidi?
Watu wa Kahama ni maskini uwingi wao hauna maana yeyote
Singapore pamoja na uchache wao walifanya Industry Revolution kubwa sana wao hawategemei kilimo cha (ndofani) viazi km huko Njombe..kwa hiyo idadi ya watu ni muhimu sn ukiona maeneo yenye Thinly Populate ujue hayana Economy Oppotunity..Tanzania Ina watu wengi kuzidi Singapore lakini je mnafanya biashara kuwazidi?
Watu wa Kahama ni maskini uwingi wao hauna maana yeyote
Kumbe tunakubaliana kwamba watu wengi sio ishu Bali akili.Singapore pamoja na uchache wao walifanya Industry Revolution kubwa sana wao hawategemei kilimo cha (ndofani) viazi km huko Njombe..kwa hiyo idadi ya watu ni muhimu sn ukiona maeneo yenye Thinly Populate ujue hayana Economy Oppotunity..
Njombe mna madini gani ?Kumbe tunakubaliana kwamba watu wengi sio ishu Bali akili.
Ndosa ni sehemu ndogo sana ya Uchumi wa Njombe.Unasahau kwamba tuna Madini na Kilimo Cha miti na akili kubwa ya watu wa Njombe.
Pole sana π€ͺπ€ͺNjombe mna madini gani ?
Unafahamu pato la Manispaa ya Kahama π€π€Kumbe tunakubaliana kwamba watu wengi sio ishu Bali akili.
Ndosa ni sehemu ndogo sana ya Uchumi wa Njombe.Unasahau kwamba tuna Madini na Kilimo Cha miti na akili kubwa ya watu wa Njombe.
Kumbe tunakubaliana kwamba watu wengi sio ishu Bali akili.
Ndosa ni sehemu ndogo sana ya Uchumi wa Njombe.Unasahau kwamba tuna Madini na Kilimo Cha miti na akili kubwa ya watu wa Njombe.
Tumia akili,tuko mwaka gani na wewe unaleta takwimu za lini?
Mimi nitaachaje kufahamu Sasa? ππUnafahamu pato la Manispaa ya Kahama π€π€
Kumbe unajitoaga ufahamu tu πππMimi nitaachaje kufahamu Sasa? ππView attachment 3158249
Nimekwambia hayo Mapato ni kiduchu sanaKumbe unajitoaga ufahamu tu πππ
Njombe Ina madini ya kutosha MJOMBA kabla ya kuchangia mada muwe na uelewa wa mikoa ya nchi yako angalau na utembelee sio kuchangia kwa mihemuko population sio uchumi unaweza ukawa na watu wengi uchumi ukawa hamna ko kinachoangaliwa fursa zilizopo kwenye mkoa husika mkoa wa njombe una fursa za kuzidi kama unaufahamu vizuri hadi wanajenga viwanda hivi ujue Kuna madini ya chuma ya kutosha ,bado ya makaa ya mawe nk ndo maana wameanzisha mji wa viwandaNjombe mna madini gani ?
Hizo takwimu ZAKO umezitoa wapi au ndo story za mitaani hizoNjombe kahama zimezidiwa na mufind kwenye pato la taifa kwa mwaka mufind ambayo ni mafinga inashika nafas ya pili au ya 3 je izo sehemu ulizo zitaja zinashika nafas ya ngap
Ujinga huu alikukaririsha nani?Njombe kahama zimezidiwa na mufind kwenye pato la taifa kwa mwaka mufind ambayo ni mafinga inashika nafas ya pili au ya 3 je izo sehemu ulizo zitaja zinashika nafas ya ngap
Kumbuka saiz mafinga na mufindi zilisha tengana ni halmashauri mbili tofauti Sasa unachanganyaje hayo mapato Tena hata wakichanganya mapato Yao mufindi na mafinga kwa tunduma hawatoboiNjombe kahama zimezidiwa na mufind kwenye pato la taifa kwa mwaka mufind ambayo ni mafinga inashika nafas ya pili au ya 3 je izo sehemu ulizo zitaja zinashika nafas ya ngap