milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Mwanza. Ni miradi ipi aliifanya JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Mkoa mzuri hapa Tanzania kuliko Mbeya
View: https://x.com/EggleVuvu/status/1877649664616358207?t=qmtJRdh71jexg8sHBvTeSQ&s=19
Wewe ni mjinga.Kwa taarifa Yako tuu Kitulo.iko Mbeya (Mbarali) na Njombe(Makete), sehemu ya Mbeya ndio simple kuingia hifadhini.Naona unakimbilia kwenye hifadhi iliyopo makete 😁😁👇ona miji ya wenzio ilivyo na madhariView attachment 3198845View attachment 3198846
Wewe ni mjinga.Kwa taarifa Yako tuu Kitulo.iko Mbeya (Mbarali) na Njombe(Makete), sehemu ya Mbeya ndio simple kuingia hifadhini.
Hakuna Mkoa mzuri kuliko Mbeya
View: https://x.com/EggleVuvu/status/1877262764869112067?t=xQVx7Tyz1XEv5AhrnG4YpQ&s=19
Hakuna Mkoa Mkoa mzuri kuliko Mbeya
Hakuna Mkoa mzuri kuliko Mbeya 👇👇View attachment 3198862
Masaki ya mbeya 🤣🤣🤣🤣.....kituko
Mikdde umehamisha magoli baada ya kupelekewa moto na Mbeya 😆😆
Hakuna Mkoa mzuri kuliko Mbeya hapa Tanzania 👇👇
View: https://x.com/GatewaySafari/status/1866525955667398861?t=8JBFXj6QbTZWTrko59S62A&s=19
Kitulo haiko Mbeya 😆😆👇👇Mbona unarudia rudia picha ..kitulo makete ....
Kwenye mandhari hamwezi fikia giant rock city View attachment 3198866
Hakuna Mkoa Mkoa mzuri kuliko Mbeya
View: https://x.com/Visitmbeya/status/1875113986796269707?t=xwF8Zfad4VGBn202ebjfxw&s=19
Hakuna Mkoa Mkoa mzuri kuliko Mbeya
View: https://x.com/Visitmbeya/status/1875113986796269707?t=xwF8Zfad4VGBn202ebjfxw&s=19
Aibu tupu 😁😁
Unahamisha magoli? Bado hujasema Mbeya 👇 👇Nisaidieni kuhesabu ghorofa hapa 😁😁😁👇
View attachment 3198896