RC MTAKA AMUELEZA BALOZI DKT. NCHIMBI KUWA VIONGOZI THABITI WA NJOMBE NI FAIDA YA UWEKEZAJI WA CCM
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ndugu. Anthony Mtaka , amemueleza Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Viongozi thabiti na imara wa mkoa wa Njombe ni faida iliyotokana na zao la uwekezaji wa Chama Cha Mapinduzi kuanzia Chipukizi hadi Vijana.
RC Mtaka ameyasema hayo mbele ya Maelefu ya wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa stendi ya zamani ya makambako kwa ajili ya ushiriki wao kwenye mkutano wa hadhara.
Pia, RC Mtaka amemueleza Balozi Dkt. Nchimbi kuwa Maendeleo yaliyopo mkoani Njombe katika kipindi cha miaka 3 ya uongozi wa Rais Dkt. Samia ambapo amesema kiasi cha Tsh Bilioni 900 kimetumika kwa maendeleo katika sekta mbalimbali.
"Njombe kuna matunda ya watu uliowalea ukiwa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na haya yote ni mafanikio ya uwekezaji wa CCM kwa Chipukizi na Vijana"
"Tunakuahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii kulinda heshima ya CCM ndio maana madiwani, wabunge, wenyeviti wa serikali za mitaa na viongozi wa chama wote wana ushirikiano wa timu moja katika kazi"
"Njombe kazi kubwa imefanyika na katika kipindi cha miaka 3 ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeletwa fedha Tsh Bilioni 900 na kutumika katika sekta zote za mendeleo ya kijamii (afya, maji, umeme (85% zaidi vijiji vyote vina umeme),)
"Makambako ni eneo la uwekezaji wa kibiashara na litapelekea kuzalisha ajira na kukuza uchumi wa wananchi wa Njombe"
🗓️18 Aprili, 2024
📍Makambako - Mkoani Njombe
#CCMkazini
#VitendoVinaSauti
#TuaendeleaNaMama
#KaziIendelee
Asema Bilioni 900 zimetumika kwa maendeleo mkoani Njombe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ndugu. Anthony Mtaka , amemueleza Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Viongozi thabiti na imara wa mkoa wa Njombe ni faida iliyotokana na zao la uwekezaji wa Chama Cha Mapinduzi kuanzia Chipukizi hadi Vijana.
RC Mtaka ameyasema hayo mbele ya Maelefu ya wananchi waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa stendi ya zamani ya makambako kwa ajili ya ushiriki wao kwenye mkutano wa hadhara.
Pia, RC Mtaka amemueleza Balozi Dkt. Nchimbi kuwa Maendeleo yaliyopo mkoani Njombe katika kipindi cha miaka 3 ya uongozi wa Rais Dkt. Samia ambapo amesema kiasi cha Tsh Bilioni 900 kimetumika kwa maendeleo katika sekta mbalimbali.
"Njombe kuna matunda ya watu uliowalea ukiwa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na haya yote ni mafanikio ya uwekezaji wa CCM kwa Chipukizi na Vijana"
"Tunakuahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii kulinda heshima ya CCM ndio maana madiwani, wabunge, wenyeviti wa serikali za mitaa na viongozi wa chama wote wana ushirikiano wa timu moja katika kazi"
"Njombe kazi kubwa imefanyika na katika kipindi cha miaka 3 ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeletwa fedha Tsh Bilioni 900 na kutumika katika sekta zote za mendeleo ya kijamii (afya, maji, umeme (85% zaidi vijiji vyote vina umeme),)
"Makambako ni eneo la uwekezaji wa kibiashara na litapelekea kuzalisha ajira na kukuza uchumi wa wananchi wa Njombe"
🗓️18 Aprili, 2024
📍Makambako - Mkoani Njombe
#CCMkazini
#VitendoVinaSauti
#TuaendeleaNaMama
#KaziIendelee