Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

China kwa ujenzi wa reli wapo vizuri hapa wamejenga caple gauge na standard geuge ko tren za aina mbili Zina tumia njia HiYo nahisi na TAZARA itakuwa kwa mfumo huu
IMG-20240517-WA0035.jpg
 

Reli ikijengwa kwa speed hadi 110 km/h lakin treni zilizopo speed zake ni ndogo Bora wamerudi waliojenga walete tren zenye speed ,👇👇👇👇👇👇👇👇Rail gauge and standardsedit

The TAZARA has a track gauge of 3 ft 6 in (1,067 mm), also known as the Cape gauge, which is widely used throughout southern Africa.[15] TAZARA connects to the Cape-gauge Zambia Railways at Kapiri Mposhi. The remainder of Tanzania’s railways have 1,000 mm (3 ft 3+3⁄8 in) metre gauge tracks.[16] A transshipment station with a break of gauge station was built in Kidatu in 1998.[16]

Except for the rail gauge, TAZARA generally reflects Chinese railway standards of the 1970s. The technical characteristics of the line were:

  1. Couplers: Janney (AAR)[17]
  2. Brakes: Air/vacuum[18]
  3. Axle loading: 20 metric tons[18]
  4. Sleepers: Concrete on main line, Wood at turnouts and on bridges[18]
  5. Rail: High-manganese steel, 45 kg/m (90 lb/yard), mostly jointed[19]
  6. Signals: Semaphore
  7. Design speed: 110 km/h (70 mph)[20]
  8. Design capacity: 5 million metric tons per year[5]
  9. Loading gauge: Limited by 22 tunnels in the Udzungwa Mountains
    IMG-20240517-WA0035.jpg
    1708075365029.jpg
 
Aliyoyazungumza Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe.Anthony Mtaka Mei 16, 2024 wakati akizungumza na watumishi wa Serikali na taasisi zilizopo Wilayani Ludewa.

“Mkoa mpya utakao shindana kwenye uchumi wa taifa baada ya Arusha ni Mkoa wa Njombe”.

“Mijadala kwenye vikao vya wataalamu ilenge kwenye uwekezaji mkubwa utakaoinua uchumi wa wilaya na taifa,acheni kufanya kazi kwa mazoea ,wilaya mliyo nayo ni wilaya ya pekee kwenye nchi ,akiba ya madini ya chuma na makaa ya mawe ni ya zaidi ya miaka 100.”

“Mwenyekiti wa Halmashauri endesha agenda ya maendeleo ya Halmashauri , Wilaya ni lazima tukimbie, uwekezaji wa Liganga na Mchuchuma umetajwa kwenye dira ya taifa ya 2025-2050.”

“Ludewa mko tayari?, Mhe. Rais ametoa maelekezo kwa Wizara za Viwanda na Biashara pamoja na Wizara inayohusika na uwekezaji ili mwekezaji wa Mchuchuma na Liganga apatikane haraka, Mkuu wa Wilaya anzeni kuzitambua na kuzitangaza fursa zitakazo ibuka kwenye uwekezaji huu mkubwa wa Liganga na Mchuchuma, watu waje kuwekeza kwenye Mahotel,Migahawa ya chakula,vituo vya mafuta na gesi,Maeneo ya ujenzi wa viwanda, maeneo ya biashara mbalimbali, Kilimo cha mbogamboga, Ufugaji pamoja na uwekezaji eneo la ziwa Nyasa.”

“Kuna bahati ambayo Mungu ameishusha Ludewa tuna chuma na makaa ya mawe yanayoweza kuyeyusha hiyo chuma, madini matatu ya Titaniamu, Allunium na Vanidiamu yaliyopo kwenye hiyo chuma ni madini ya thamani sana duniani”

“Kama kuna kitu kitaandikwa kwenye vitabu vya historia ya uchumi wa nchi yetu basi ni maamuzi ya Mheshimiwa Rais kuamua sasa mradi wa Mchuchuma na Liganga utekelezwe, kwani utekelezaji wa mradi huu utaendana sambamba na mageuzi makubwa ya uchumi wa Taifa letu,utekelezaji wa mradi huu pamoja na kuliingizia Taifa letu pesa utazalisha Ajira nyingi kwa vijana wa kitanzania kupitia uchimbaji wa madini yenyewe (Chuma) lakini uongezaji wa thamani kwa bidhaa za viwandani zitakazotokana na chuma itakayo chimbwa sambamba na upatikanaji wa madini mengine matatu (Titaniamu, Allunium na Vanadiamu)”.

📸📸 @chrispin_b__kalinga

#Ludewa #LudewaYetu
 
Aliyoyazungumza Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe.Anthony Mtaka Mei 16, 2024 wakati akizungumza na watumishi wa Serikali na taasisi zilizopo Wilayani Ludewa.

“Mkoa mpya utakao shindana kwenye uchumi wa taifa baada ya Arusha ni Mkoa wa Njombe”.

“Mijadala kwenye vikao vya wataalamu ilenge kwenye uwekezaji mkubwa utakaoinua uchumi wa wilaya na taifa,acheni kufanya kazi kwa mazoea ,wilaya mliyo nayo ni wilaya ya pekee kwenye nchi ,akiba ya madini ya chuma na makaa ya mawe ni ya zaidi ya miaka 100.”

“Mwenyekiti wa Halmashauri endesha agenda ya maendeleo ya Halmashauri , Wilaya ni lazima tukimbie, uwekezaji wa Liganga na Mchuchuma umetajwa kwenye dira ya taifa ya 2025-2050.”

“Ludewa mko tayari?, Mhe. Rais ametoa maelekezo kwa Wizara za Viwanda na Biashara pamoja na Wizara inayohusika na uwekezaji ili mwekezaji wa Mchuchuma na Liganga apatikane haraka, Mkuu wa Wilaya anzeni kuzitambua na kuzitangaza fursa zitakazo ibuka kwenye uwekezaji huu mkubwa wa Liganga na Mchuchuma, watu waje kuwekeza kwenye Mahotel,Migahawa ya chakula,vituo vya mafuta na gesi,Maeneo ya ujenzi wa viwanda, maeneo ya biashara mbalimbali, Kilimo cha mbogamboga, Ufugaji pamoja na uwekezaji eneo la ziwa Nyasa.”

“Kuna bahati ambayo Mungu ameishusha Ludewa tuna chuma na makaa ya mawe yanayoweza kuyeyusha hiyo chuma, madini matatu ya Titaniamu, Allunium na Vanidiamu yaliyopo kwenye hiyo chuma ni madini ya thamani sana duniani”

“Kama kuna kitu kitaandikwa kwenye vitabu vya historia ya uchumi wa nchi yetu basi ni maamuzi ya Mheshimiwa Rais kuamua sasa mradi wa Mchuchuma na Liganga utekelezwe, kwani utekelezaji wa mradi huu utaendana sambamba na mageuzi makubwa ya uchumi wa Taifa letu,utekelezaji wa mradi huu pamoja na kuliingizia Taifa letu pesa utazalisha Ajira nyingi kwa vijana wa kitanzania kupitia uchimbaji wa madini yenyewe (Chuma) lakini uongezaji wa thamani kwa bidhaa za viwandani zitakazotokana na chuma itakayo chimbwa sambamba na upatikanaji wa madini mengine matatu (Titaniamu, Allunium na Vanadiamu)”.

📸📸 @chrispin_b__kalinga

#Ludewa #LudewaYetu
Njombe Bush?.😁😁 after Arusha.
 
Tanzania holds the potential to become a horticulture export powerhouse. With a strongly organised sector, supportive policy and geographical advantages, crops like avocado, peas and flowers can generate huge amounts of business and societal value. Flying Swans will support this development through the strategic development of temperature-controlled logistics facilities.

Like in other corridors, Flying Swans have developed a corridor vision (picture below) comprising multiple investments that leverage the existing infrastructure and production and can unlock the country's horticulture potential, starting with a hinterland consolidation facility.
Tanzania Corridor



50,000 ton
Avocado production
 
Back
Top Bottom