The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #61
Naanza na filling stations za Viwango..Tushawatajia tayari.benki ,hotel, biashara Kila kitu mnazidiwa .
Ukipata filling station kali kama hii huko Kahama nitag..Kama huijui Kahama ni heri ukanyamaza tu
Ukinga Hill Hotel Tunduma..πTushawatajia tayari.benki ,hotel, biashara Kila kitu mnazidiwa .
Tunduma Hotel πHuna lolote ..ww ndo utakimbia
Unapata wapi muda wa kupiga Picha property za watu kuja kupost ujinga JF?Ukinga Hill Hotel Tunduma..π
πππππ Kwani hapa mjini hujui kwamba kuna fani ya wapiga picha?Unapata wapi muda wa kupiga Picha property za watu kuja kupost ujinga JF?
Kama kuna mtu anakuita baba kala hasara.
Leo umepost uchafu sijapata kuona ...[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]huo mji ,shabby town ,mji umepauka vumbi kalinganishe na ilula ya iringa hukoWatu wa Kahama mnatakiwa kufahamu kwamba Tunduma sio size yenu..
Mkija kukaribia kufika hapa mnitag [emoji116]
Ukisikia chwiiiiiii ujue ni ππππ,dozi imeingia..Leo umepost uchafu sijapata kuona ...[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]huo mji ,shabby town ,mji umepauka vumbi kalinganishe na ilula ya iringa huko
Am coming.usikimbie uziUkisikia chwiiiiiii ujue ni [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382],dozi imeingia..
Mkuu tulia usilie Sana bado hujakamilisha dozi..[emoji13][emoji13]
Tunduma town [emoji116]
Wewe ni mpumbavu, huna tofauti na walugulu wanaojivunia mabasi ya Abood.πππππ Kwani hapa mjini hujui kwamba kuna fani ya wapiga picha?
Mzee zimejaa mitandaoni acha ushamba we boya.
Unfortunately humu hatuonyeshi vibanda bali structures kubwa kubwa za watu binafsi na Serikali..Wewe ni mpumbavu, huna tofauti na walugulu wanaojivunia mabasi ya Abood.
Onesha hata kibanda cha kuuza soda unachomiliki wewe binafsi.
Umeshindwa kule kwenye battle ya Njombe huku ndio utaweza? πππAm coming.usikimbie uzi
Hao watu binafsi Kwa nini usiwe wewe? Jinga kabisa.Unfortunately humu hatuonyeshi vibanda bali structures kubwa kubwa za watu binafsi na Serikali..
Kwa hiyo toa upumbavu wako hapa.
Haiwezekani tukawa wote na hayo magorofa makubwa makubwa,ikiwa hivyo huta pata hata wa kukujengea na maana ya maisha itakuwa hakuna..Hao watu binafsi Kwa nini usiwe wewe? Jinga kabisa.
Nyinyi ndio wale mazuzu mnaopiga Picha kwenye magari ya watu kuposti mitandaoni.
Niambie sehem kwa kahama unaijua .au unabisha bila kufika shemu.mm mikoa ambayo sijafika tz ni ruvuma ,mtwala,Lindi , sumbawanga na Tanga mjini tu.mingine nimevuluga na wilaya zake karibia zote.sasa unabisha kishabiki.Mapovu mengi Sana mkuu picha ndio zinaongea [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]..
Ujinga Hill Hotel,Kahama nzima hakuna [emoji116]
Nitajie bar Kari tunduma zaidi ya Ile ukitoka stand kwenda njia ya sumbawanga ndio yenye amsha amsha.nitajie inaweza kumpokea msanii Gani mkubwa tzMapovu mengi Sana mkuu picha ndio zinaongea [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]..
Ujinga Hill Hotel,Kahama nzima hakuna [emoji116]
Nyati Village, Uwanji,I.K nkNitajie bar Kari tunduma zaidi ya Ile ukitoka stand kwenda njia ya sumbawanga ndio yenye amsha amsha.nitajie inaweza kumpokea msanii Gani mkubwa tz
Ni kweli ila sasa tunalinganisha kwa standards za kibongo bongo..Tuliotembea sehemu nyingi duniani kama mimi miji ya Tanzania huwa naiona takataka tu.nchi nzima haijapangiliwa.Hakuna haja ya kulinganisha maana zote ni takatakatu