The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #81
Picha ndio zinaongea sio porojo zako..Niambie sehem kwa kahama unaijua .au unabisha bila kufika shemu.mm mikoa ambayo sijafika tz ni ruvuma ,mtwala,Lindi , sumbawanga na Tanga mjini tu.mingine nimevuluga na wilaya zake karibia zote.sasa unabisha kishabiki.
Hizo number za population ziko unrealistic, sensa iliyopita tunduma ilikua 97000 na hiyo Kahama haiwezi kufikia idadi hiyo ya watuHii ni kwa watafutaji na wazee wa fursa..
Leo tumalize mzizi wa fitina,ni Mji gani Kati ya Kahama na Tunduma uko vizuri kiutafutaji?
Tunduma-Ina wakazi zaidi ya laki 2 na ni Mji wa mpakani unaokua Sana kwa kutegemea zaidi biashara za mpakani..
Kahama-Ina wakazi zaidi ya laki 3 na ni Mji wa biashara unaokua Kwa kutegemea zaidi biashara za madini..
Kwa Maoni yangu, Tunduma is much better na iko more promising kuliko Kahama..
Idadi tuu ya magari yaliyoko Tunduma ni pesa tosha kwa biashara ya Hotels,Guest Houses,parking na Migahawa na watu hasa Madereva wanaotoka Dar na pesa kuja ku spend wakiwa njiani kupeleka mizigo Kusini mwa Africa.
Tunduma Border ya Wajanja na lango kuu la SADC [emoji116]
Mzee unafeli..Hizo number za population ziko unrealistic, sensa iliyopita tunduma ilikua 97000 na hiyo Kahama haiwezi kufikia idadi hiyo ya watu
Sa si mmezidiwa au huoniUlinganifu wa Mapato baina ya Kahama vs Tunduma [emoji116]
Matakataka haya unaweka ๐ฎ๐ฎHapa sio katikati ya mji Ni MTAA wa Majengo [emoji116][emoji116]View attachment 2345580View attachment 2345581View attachment 2345582
Hapa unaona nini? ๐Huwezi pata avenue yenye miti safi kama hii hapo kalioni ..kupauka na vumbi la upepo ndio habari yenu[emoji116]MALUNGA View attachment 2345587
Ndio mwisho wa Kahama hapa hakuna jipya tena ๐ฌ๐ฌUkisikia kuita maji mma ndo huku ..Uzi ushaukimbia huu hii battle ulikosea njia ...
Size kahama sio sawa na miji vyenu vya mchongo [emoji116]leta complex kama hii hapo village kwenuView attachment 2345797View attachment 2345798