Kahata atoa ya moyoni kuhusu ligi kuu ya Tanzania

Kahata atoa ya moyoni kuhusu ligi kuu ya Tanzania

Hahahaha, wacha kulazimisha mambo, mbona England ligi yao ni bora lakini National team haifanyi vizuri?, kubali ukweli kwamba tumewazidi kwa mbali sana ktk football
Walifika semi final 2018,
Plus 16 round huwa hawakosiii
 
Duniani kuna michezo miwili tu 1)Footbal 2)The rest.

Tanzania football league is the best in East and Central Africa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah! We si ununajua Harambee Stars lazima ipindishe Taifa Rats mgongo!
 
Tunazungumzia ubora wa timu ya Taifa ukilinganisha na ubora wa Ligi ya nyumbani, hata Tanzania pia tulifika Katika hatua za makundi CAF
Kwani nikisema walifika semi last time iyo si ubora?
Unaongea vitu hujui.
 
Duniani kuna michezo miwili tu 1)Footbal 2)The rest.

Tanzania football league is the best in East and Central Africa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Football yenyewe mko ranked 140!!!
ATLEAST mfike top 50 Ndio useme ivo
 
Huyo Kahata mwenyewe akirudi tutamtia kwenye karantini ya siku 14 ili kuhakikisha hana corona
Kwan kahata hapa tz si karudi juzi tu .alikuwepo kenya. Niliwauliza ili ktk uzi flan ... Kahata anafanya kaz Tz, tangu amerudi kenya zaidi ya mara 3 je mlishahawi kusikia yupo positive na covid 19 ? Kagere amerudi rwanda hajawahi test pos + ya covid 19, tuna players from Brazil hawajawahi kuwa + covid 19. You people mnashidaaa
 
Kwani nikisema walifika semi last time iyo si ubora?
Unaongea vitu hujui.
Tanzanians are more closer to their local clubs than national team. Simba Sc & Yanga are a regular team in Africa champions league.
Its the same phenomenon as with UK..fans are more invested in their man-u, chealsea ,Man city base than national Team - Which doesn't do well at Wolrdcup but England is still the best league in the world
 
B
Duniani kuna michezo miwili tu 1)Footbal 2)The rest.

Tanzania football league is the best in East and Central Africa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Boss one of your top team(yanga) ilipigwa huku kenya na nakuru all stars team haipo ata ligi ya kenya unadhani tumesahau...best my foot
 
Mbona hawa wachezaji wa mpira wa Kenya wameanza kuenda kuchezea nchi shit-hole?
 
Back
Top Bottom