Kahata Tumjadili Kwanza au Tuendelee Kumpa Muda?

Kuhusu offensive player kahata kakamilika
 
Pasi yake ya leo daaah imenipa burudan sanaaaa
 
Niyonzima ni wa furahisha jukwa tu na hana madhara kwa timu pinzani hasa Kama timu yake inashambuliwa.
Pia huyo Kijana ni pasua kichwa sana, huwa anaanza kucheza mpira miezi sita kabla ya mkataba wake kwisha.
Miezi sita ndio anaupiga mwingi, basi mjanja sana
 
Kocha hamtumii ila yuko vizuri
 
Kahata ni bora mara mia kuliko Dilunga, kocha ana biffu na Wachezaji anaamua kuwakomoa tu.
 
Kahata dirisha dogo anarudi Gor Mahia.
Mstari mwekundu umeshampitia.
 
Kahata mchezaj mzuri tu sema misumar bongo ndio tishio sijawai kuona mchezaj akatoka Kenya akaja kuwika bongo zaid ya bonifas Amban na Ben mwalala sijui hawaamin kweny uchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…