Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Nchi imezubaa while tunawalisha,we dada vp!!What tonnes do you produce malazy?? Nchi imezubaa sana hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi imezubaa while tunawalisha,we dada vp!!What tonnes do you produce malazy?? Nchi imezubaa sana hii.
Jifunze kuandika kiswahili kwanza......utopolo gani unasema hapo......ulianguka mtihani....kwani zimekua embe dodojifunze kujibu maswali, hivyo ndo ulianguka mtihani akawa mwizi.
Shida quality kwani umeambiwa wingi? Hata muoteshe hadi vitandani mwenu ishu uboraKahawa Kenya zinapandwa kupandwa and we are even producing more than we expected and we now even aim higher after the government waliongeza pesa kwa wakulima
Mkenya na mzungu kama chupi na tako.........hamjiaminigi kwa chochote hadi mzungu akubali kwanza..........pua nyang'auTanzania sijui Mulirogwa na Nani Kahawa Kenya Ni Mingi mpaka unaweza fikiri zinatupwa,Do you know Wazungu wakiskia kitu imetoka Kenya Kama Kahawa na Avocado wanakulanga Kama Dawa
Tanzania is above Kenya in coffee exports!Tanzania sijui Mulirogwa na Nani Kahawa Kenya Ni Mingi mpaka unaweza fikiri zinatupwa,Do you know Wazungu wakiskia kitu imetoka Kenya Kama Kahawa na Avocado wanakulanga Kama Dawa