Kahuruma fulani kameshaanza kuniingia kwa waPalestina

HARAAAMU HULIWA NA HARAMUU SOMAA MAANDIKOOOO

OLE WAKE AGUSAYE TAIFA LA MUNGU

ZIKO OLE 22
HAOO WANATIMIZA.MAANDIKO TU AWAJAANZA KUPIGA MKUU WAKIPIGA WANASAFISHA MJIMZIMA WAANZE KUZALIANA UPYA
 
Israel ni muoga,wanashindwa kukabiliana na wapiganaji wa kipalastina uso kwa uso,wanarusha mabomu.Tanzania tulipigana na Uganda,hakuna mwananchi wala mtoto,wala Mwanamke,wala asiyehisika na vita,alipigwa hata kofi wacha bomu.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Hamas iko wapi? Wahamas ni watu wa race na taifa lipi?
Haijalishi mahala ilipo,, pia haijalishi ni watu wa race ipi,, hamas sio jeshi la Palestina,, ni kikundi cha wanamgambo kama unavoona Alqaeda, n.k
 
Israel haipigani na Palestine,, inabidi uelewe kwanza hilo..
Israel wanapigana na kikundi cha wanamgambo HAMAS...
Lakini waisrael ni waoga,wanarusha mabomu,kwa kuwapiga raia,badala ya kukabiliana na wapiganaji wenzao,Tanzania tulipigana na Uganda,hakuna hata raia aliyeumia,vita ilikuwa uso kwa uso na wapiganaji.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli na wale wanaojificha kwenye makazi ya watu na kurusha magrenedi ni mashujaa.
 
HARAAAMU HULIWA NA HARAMUU SOMAA MAANDIKOOOO

OLE WAKE AGUSAYE TAIFA LA MUNGU

ZIKO OLE 22
HAOO WANATIMIZA.MAANDIKO TU AWAJAANZA KUPIGA MKUU WAKIPIGA WANASAFISHA MJIMZIMA WAANZE KUZALIANA UPYA
Taifa la Mungu,wakati ni waoga ,wanashindwa kupigania na wapiganaji wenzao,wanapiga raia na wanawake,na watoto,yoga mkubwa sana.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Palestina wamesahau awapigani na Israel wanapigana na alieejuu
mfalme wa wafalme**alpha na omega
mwanzo na mwisho...
Huyo aliyejuu,ni yupi anayeua watoto,wanawake,raia wa kwaida.Israel ni muoga sana,badala ya kupigana na wapiganaji,wanawapiga watoto,wanawake,huu ni uoga wa hali ya juu.Tanzania tulipigana na Uganda,hakuna hata raia aliyepigwa hata kibao,wacha bomu.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli na wale wanaojificha kwenye makazi ya watu na kurusha magrenedi ni mashujaa.
Kama wamejificha kwenye makazi ya watu,wanashindwa nini kuwafuata kwa mbinu za kijeshi,na kuwakamata,kama sio uoga wa kuwaogopa wanamgambo.Ni aibu kubwa sana,jeshi kupiga raia,na kupigana na mwanamgambo.Uoga wa Hali ya juu.Tafuta mtu akuelezee jinsi jeshi la Tanzania,lilivyopigana Uganda,kwa kutumia mbinu za kijeshi,bila kuumiza raia

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Kwani nimebisha. Nakubaliana na wewe na nimesisitiza tu wale waliojificha na kurusha makombora ni mashujaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…