Kaimati (sweet dumplings)

Kaimati (sweet dumplings)

nimependa signature yako.
yani me vitam napenda ila nawochi mai figa pia..bas tafrani..naishia kula gizani nsionekane...teh

Thanks.
Mie nime watch sana my figure na mpaka sasa nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa,tatizo sasa umri unasogea naona umbo nililonalo haliendani na umri wala status niliyonayo maana mpaka wadogo zangu wanaonekana wakubwa kwa maumbo.
Nimefungulia kula kila kisichonidhuru ili mwili uje nao ndio umegoma hasa! farkhina anisaidie tu menu za kuwa bonge nikeshe nazo
 
Last edited by a moderator:
Thanks.
Mie nime watch sana my figure na mpaka sasa nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa,tatizo sasa umri unasogea naona umbo nililonalo haliendani na umri wala status niliyonayo maana mpaka wadogo zangu wanaonekana wakubwa kwa maumbo.
Nimefungulia kula kila kisichonidhuru ili mwili uje nao ndio umegoma hasa! farkhina anisaidie tu menu za kuwa bonge nikeshe nazo
Me usoni ndo utajua im young! sitishi im sexxy like that and i dont look bad at all sema napenda kupungua kidogo.Ila vitam napenda teh chocolate mamamamam acha tuu..kwa farkhina nakuja napo...hmmm em nipe siri ya urembo jaman
 
Me usoni ndo utajua im young! sitishi im sexxy like that and i dont look bad at all sema napenda kupungua kidogo.Ila vitam napenda teh chocolate mamamamam acha tuu..kwa farkhina nakuja napo...hmmm em nipe siri ya urembo jaman
Tusichakachue thread ya watu mwaya,tukayaongee kipande ileeee ili tusikere wengine
 
hii kaimati kwa sie tusiopenda sukari twaweza tumia asali au..
 
Thanks.
Mie nime watch sana my figure na mpaka sasa nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa,tatizo sasa umri unasogea naona umbo nililonalo haliendani na umri wala status niliyonayo maana mpaka wadogo zangu wanaonekana wakubwa kwa maumbo.
Nimefungulia kula kila kisichonidhuru ili mwili uje nao ndio umegoma hasa! farkhina anisaidie tu menu za kuwa bonge nikeshe nazo

Hahahahaha kunenepa sio kula tu bi shosti...
 
Last edited by a moderator:
Me usoni ndo utajua im young! sitishi im sexxy like that and i dont look bad at all sema napenda kupungua kidogo.Ila vitam napenda teh chocolate mamamamam acha tuu..kwa farkhina nakuja napo...hmmm em nipe siri ya urembo jaman

1405380831581.jpg
 
Mahitaji
1)Unga kikombe 1
2)1/2 kikombe cha yogurt na maji kidogo waweza tumia tui la nazi pia.
3)siagi ama samli 1tablespoon
4)1 teaspoon ya hamira

Shira (sugar syrup)

1)Sukari kikombe 1
2)maji nusu kikombe
3)hiliki 1/2 teaspoon
5)vanilla au fleva upendayo

1)Weka kwenye sufuria maji,sukari,hiliki na fleva upendayo...
2)Chemsha shira (sugar syrup) na iache ipoe

Namna ya kutaarisha karimati

1)changanya unga,yogurt na maji/tui la nazi,samli/siagi na hamira changanya vizuri kwa mikono hadi uwe mchanganyiko mzito mzito
2)funika na acha iumuke kwa dakika 30....
3)weka mafuta kwenye karai yakipata moto chota mchanganyiko wako uwe unatumbukiza kwene mafutana kaanga karimati zako na ziwe brown pendelea kuweka moto mdogo mdogo ili ziwive vizuri.
2)weka kaimati katika shira iliyopoa tayari kwa kuliwa.
 
Back
Top Bottom