Kaimu jaji mkuu

Kaimu jaji mkuu

kipipili

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
1,587
Reaction score
186
hivi ni kwa nini mtu anayekaimu ujaji mkuu ni lazima aapishwe?
na je nani anamteua kaimu jaji mkuu,rais au jaji mkuu?
na je kwa mfululizo wa nafasi ya mtu kukaimu urais je kaimu jaji mkuu anabaki kwenye nafasi ya jaji mkuu kukalia kiti cha urais?
nawasilisha
 
Back
Top Bottom