A
Anonymous
Guest
Naandika hii kwa masikitiko sana kwani tangu tumekuwa tukiripoti yanayojiri shule ya msingi Mugundu ilioko wilaya ya Iramba kata ya Kyengege mkoani Singida hakuna hatua yoyote inayochukuliwa
Narudia tena kusema huyu Kaimu Mwl Mkuu amekuwa tatizo kubwa hapa, tunaomba mamlaka husika zifike shuleni ikiwezekana zifanye kikao na wazazi ili wapate kujua vizuri kero za hapo shuleni.
Mwl huyu anathubutu kuwarudisha wanafunzi wa darasa la saba nyumbani wasipate masomo kwa ajili ya kufuata pesa ya mahafali na amefanya hivyo mara kwa mara sasa si atapelekea watoto kufeli!
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na mkazi wa Mugundu.
Asante
Narudia tena kusema huyu Kaimu Mwl Mkuu amekuwa tatizo kubwa hapa, tunaomba mamlaka husika zifike shuleni ikiwezekana zifanye kikao na wazazi ili wapate kujua vizuri kero za hapo shuleni.
Mwl huyu anathubutu kuwarudisha wanafunzi wa darasa la saba nyumbani wasipate masomo kwa ajili ya kufuata pesa ya mahafali na amefanya hivyo mara kwa mara sasa si atapelekea watoto kufeli!
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na mkazi wa Mugundu.
Asante