KERO Kaimu Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mugundu ni tatizo, mamlaka ziingilie kati

KERO Kaimu Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mugundu ni tatizo, mamlaka ziingilie kati

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
M
Kuwasiliana na wazazi hakumpi mamlaka ya kutimua wanafunzi muda wa masomo wakafuate michango ambayo wazazi au walezi ndiyo wanawajibika kuitoa.Lengo mahsusi la wanafunzi kuwa shuleni ni kupata elimu/ujifunzaji na si hafla wala mahafali.Kwa nini wasiweke mipango ya uchangiaji kidogokidogo kwa muda mrefu/utakaotosha kulingana na hali zao?Miongozo ya kazi kiualimu inamuelekeza awatimue wanafunzi warudi nyumbani kufuata michango ya mahafali?
kuu Demokrasia ikizidi ni shida
 
M

kuu Demokrasia ikizidi ni shida
Hapo hakuna kuihusisha demokrasia na weledi na uadilifu kazini.Walimu wengi hujisahau hadi kutotii hadi maagizo halali ya viongozi wao.Msiwadekeze wataumia.They have to go by the book!Hatuendi hobelahobela ili mradi tu wakusanye mahela.Uliwahi kusikia wanawarudisha wanafunzi nyumbani kufuata penseli au peni walizozisahau?Muda mwingi ni masuala ya pesa tu hadi kuwadunda watoto.
 
Ndionilishawahi kusi
Hapo hakuna kuihusisha demokrasia na weledi na uadilifu kazini.Walimu wengi hujisahau hadi kutotii hadi maagizo halali ya viongozi wao.Msiwadekeze wataumia.They have to go by the book!Hatuendi hobelahobela ili mradi tu wakusanye mahela.Uliwahi kusikia wanawarudisha wanafunzi nyumbani kufuata penseli au peni walizozisahau?Muda mwingi ni masuala ya pesa tu hadi kuwadunda watoto.
Kia wanarudisha wasio na pen na daftari
 
Hali za watanzania wengi kiuchumi/kifedha ni chokambaya.Walimu hawapaswi kuwarudisha watoto nyumbani kufuata michango yoyote na waache kujifunza ambalo ndiyo lengo mahsusi.Na walimu walishakatazwa kuwafukuza,kuwarudisha au kutoa adhabu kwa changamoto zitokanazo na wazazi au walezi wao.Wanalijua hilo.Kwa nini wanakaidi?Wakiadhibiwa kinidhamu ndiyo wataelewa somo?Watafute namna ya kuwabana wazazi na walezi bila kuleta athari kwa wanafunzi.
Ajibu swali, aweke lipa namba ilipwe, vitu vidogo hivyo hakuna haja ya kulialia. Turudishe kwa jamii.
 
Duuh! Hela ya mahafali unaianzishia uzi? Kuna mtendaji wa kijiji, kata, Diwani, Afisa elimu Kata, Afisa Elimu wilaya nk.............wote hao imeshindikana kufikisha malalmiko?
 
Ndiomaana walimu wanaonekana wapumbavu sasa ujinga kama huu unauleta huku wewe ni mpumbavu hebu toa majungu yako humu.
 
Naandika hii kwa masikitiko sana kwani tangu tumekuwa tukiripoti yanayojiri shule ya msingi Mugundu ilioko wilaya ya Iramba kata ya Kyengege mkoani Singida hakuna hatua yoyote inayochukuliwa

Narudia tena kusema huyu Kaimu Mwl Mkuu amekuwa tatizo kubwa hapa, tunaomba mamlaka husika zifike shuleni ikiwezekana zifanye kikao na wazazi ili wapate kujua vizuri kero za hapo shuleni.

Mwl huyu anathubutu kuwarudisha wanafunzi wa darasa la saba nyumbani wasipate masomo kwa ajili ya kufuata pesa ya mahafali na amefanya hivyo mara kwa mara sasa si atapelekea watoto kufeli!

Tunaomba mamlaka husika zitusaidie. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na mkazi wa Mugundu.

Asante
Tafuta hela mpeleke mtt private uache kulalamika mitandaoni kaka,hela ya mahafali shi ngapi mpk utupigishe makelele huku????mnazaaga wa nn km hata vimichango vya mahafali mtihan??? Waitishe kikao kisa mahafali????
 
Naandika hii kwa masikitiko sana kwani tangu tumekuwa tukiripoti yanayojiri shule ya msingi Mugundu ilioko wilaya ya Iramba kata ya Kyengege mkoani Singida hakuna hatua yoyote inayochukuliwa

Narudia tena kusema huyu Kaimu Mwl Mkuu amekuwa tatizo kubwa hapa, tunaomba mamlaka husika zifike shuleni ikiwezekana zifanye kikao na wazazi ili wapate kujua vizuri kero za hapo shuleni.

Mwl huyu anathubutu kuwarudisha wanafunzi wa darasa la saba nyumbani wasipate masomo kwa ajili ya kufuata pesa ya mahafali na amefanya hivyo mara kwa mara sasa si atapelekea watoto kufeli!

Tunaomba mamlaka husika zitusaidie. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na mkazi wa Mugundu.

Asante
Baada ya kutumia mbinu zako zote ikiwemo uchawi kugonga mwamba ukaamua uje unifungulie uzi humu,, hivi sababu ndo ile ile yule demu au mwenzangu una yako mengine!
 
Kwanini halalamiki kwa mwalimu mkuu, afisa elimu kata, afisa elimu wilaya au hata diwani? Hawa ndio wakuu wa majungu, hii hela ya mahafali 5000 analalamika, bando anatumia la sh ngapi
 
Ila Walimu Kuna baadhi ya mambo hayapendezi japo hatupendi Muonewe, kwani Kuna ulazima wa Mwanafunzi kushiriki Sherehe ya Mahafali ikiwa hajaridhia?
Kama wamegoma kutoa hela achana nao, ghairisha zoezi pambana na mambo mengine yenye tija. Au Mwalimu ana maslahi binafsi na hiyo Sherehe?
Wanaendekeza njaa,hawana tofauti na traffic
 
Back
Top Bottom