Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
kuu Demokrasia ikizidi ni shidaKuwasiliana na wazazi hakumpi mamlaka ya kutimua wanafunzi muda wa masomo wakafuate michango ambayo wazazi au walezi ndiyo wanawajibika kuitoa.Lengo mahsusi la wanafunzi kuwa shuleni ni kupata elimu/ujifunzaji na si hafla wala mahafali.Kwa nini wasiweke mipango ya uchangiaji kidogokidogo kwa muda mrefu/utakaotosha kulingana na hali zao?Miongozo ya kazi kiualimu inamuelekeza awatimue wanafunzi warudi nyumbani kufuata michango ya mahafali?
Hapo hakuna kuihusisha demokrasia na weledi na uadilifu kazini.Walimu wengi hujisahau hadi kutotii hadi maagizo halali ya viongozi wao.Msiwadekeze wataumia.They have to go by the book!Hatuendi hobelahobela ili mradi tu wakusanye mahela.Uliwahi kusikia wanawarudisha wanafunzi nyumbani kufuata penseli au peni walizozisahau?Muda mwingi ni masuala ya pesa tu hadi kuwadunda watoto.M
kuu Demokrasia ikizidi ni shida
Kia wanarudisha wasio na pen na daftariHapo hakuna kuihusisha demokrasia na weledi na uadilifu kazini.Walimu wengi hujisahau hadi kutotii hadi maagizo halali ya viongozi wao.Msiwadekeze wataumia.They have to go by the book!Hatuendi hobelahobela ili mradi tu wakusanye mahela.Uliwahi kusikia wanawarudisha wanafunzi nyumbani kufuata penseli au peni walizozisahau?Muda mwingi ni masuala ya pesa tu hadi kuwadunda watoto.
HakikaMuanzisha Uzi ndugu GUEST ulishaleta Uzi humu mwezi Mei kuhusu mwalimu huyohuyo,nahisi mna visa vyenu binafsi pengine mmechukuliana Mwanamke
Ajibu swali, aweke lipa namba ilipwe, vitu vidogo hivyo hakuna haja ya kulialia. Turudishe kwa jamii.Hali za watanzania wengi kiuchumi/kifedha ni chokambaya.Walimu hawapaswi kuwarudisha watoto nyumbani kufuata michango yoyote na waache kujifunza ambalo ndiyo lengo mahsusi.Na walimu walishakatazwa kuwafukuza,kuwarudisha au kutoa adhabu kwa changamoto zitokanazo na wazazi au walezi wao.Wanalijua hilo.Kwa nini wanakaidi?Wakiadhibiwa kinidhamu ndiyo wataelewa somo?Watafute namna ya kuwabana wazazi na walezi bila kuleta athari kwa wanafunzi.
Mkuu Isho sio kuchngia,Issue ni kurudisha Watoto nyumbani.Period.Kuna vitu vya kulalamikia na siyo huu upumbavu.Mnachangia milioni ngapi hayo mahafali?
Katika cases elfu kumi utakutana na za hivyo saba pekee.Ndionilishawahi kusi
Kia wanarudisha wasio na pen na daftari
Tafuta hela mpeleke mtt private uache kulalamika mitandaoni kaka,hela ya mahafali shi ngapi mpk utupigishe makelele huku????mnazaaga wa nn km hata vimichango vya mahafali mtihan??? Waitishe kikao kisa mahafali????Naandika hii kwa masikitiko sana kwani tangu tumekuwa tukiripoti yanayojiri shule ya msingi Mugundu ilioko wilaya ya Iramba kata ya Kyengege mkoani Singida hakuna hatua yoyote inayochukuliwa
Narudia tena kusema huyu Kaimu Mwl Mkuu amekuwa tatizo kubwa hapa, tunaomba mamlaka husika zifike shuleni ikiwezekana zifanye kikao na wazazi ili wapate kujua vizuri kero za hapo shuleni.
Mwl huyu anathubutu kuwarudisha wanafunzi wa darasa la saba nyumbani wasipate masomo kwa ajili ya kufuata pesa ya mahafali na amefanya hivyo mara kwa mara sasa si atapelekea watoto kufeli!
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na mkazi wa Mugundu.
Asante
Ndiomaana walimu wanaonekana wapumbavu sasa ujinga kama huu unauleta huku wewe ni mpumbavu hebu toa majungu yako humu.
Baada ya kutumia mbinu zako zote ikiwemo uchawi kugonga mwamba ukaamua uje unifungulie uzi humu,, hivi sababu ndo ile ile yule demu au mwenzangu una yako mengine!Naandika hii kwa masikitiko sana kwani tangu tumekuwa tukiripoti yanayojiri shule ya msingi Mugundu ilioko wilaya ya Iramba kata ya Kyengege mkoani Singida hakuna hatua yoyote inayochukuliwa
Narudia tena kusema huyu Kaimu Mwl Mkuu amekuwa tatizo kubwa hapa, tunaomba mamlaka husika zifike shuleni ikiwezekana zifanye kikao na wazazi ili wapate kujua vizuri kero za hapo shuleni.
Mwl huyu anathubutu kuwarudisha wanafunzi wa darasa la saba nyumbani wasipate masomo kwa ajili ya kufuata pesa ya mahafali na amefanya hivyo mara kwa mara sasa si atapelekea watoto kufeli!
Tunaomba mamlaka husika zitusaidie. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi na mkazi wa Mugundu.
Asante
Wanaendekeza njaa,hawana tofauti na trafficIla Walimu Kuna baadhi ya mambo hayapendezi japo hatupendi Muonewe, kwani Kuna ulazima wa Mwanafunzi kushiriki Sherehe ya Mahafali ikiwa hajaridhia?
Kama wamegoma kutoa hela achana nao, ghairisha zoezi pambana na mambo mengine yenye tija. Au Mwalimu ana maslahi binafsi na hiyo Sherehe?