Kaimu Viongozi wa Simba SC semeni ukweli kuhusu Niyonzima na Manula la sivyo nalipua bomu muaibike

Kaimu Viongozi wa Simba SC semeni ukweli kuhusu Niyonzima na Manula la sivyo nalipua bomu muaibike

Tumechoka kufanywa Mangumbaru / Wajinga kila uchao juu ya Usajili hewa wa Niyonzima na Manula. Na hili bomu nililonalo ambalo wakifanya mzaha nitalilipua kweli waumbuke na waaibike nimelipata kutoka kwa wenzao hao hao waliopo katika Kamati za Utendaji na Usajili.

Kinachonipandisha hasira juu yao ni kwamba kwa muda wa wiki mbili kama siyo tatu nimekuwa nikiwananga / kuwatania sana wana Yanga sehemu mbalimbali kila ninapokutana nao kiasi kwamba hadi wengine wamekuwa wakiniona tu wananikimbia kwani wimbo wangu wa kuwaringishia umekuwa ni ujio wa Haruna Niyonzima na Aishi Manula sasa nawaza tu kama taarifa hii niliyoipata ni ya ukweli nitaficha wapi msura wangu huu?

Na hakuna Watu wanaojua kutania vibaya kama Wapenzi wa Yanga na kama kweli Niyonzima na Manula hawaji au hawajasajili Simba SC hakika nitawakoma!
Niyinzima anakuja simba kucheza no ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niyonzima kamaliza mkataba Yanga? Manula je? Atangazwe Sasa ili iweje?


Matatizo ya performance ya simba misimu iliyopita, kisayansi yanaeleweka. Na sasa wana ya address kwa njia mbalimbali. Ulitaka wambakize Agban wa nini. Ngojea uone matokeo ya usajili ndiyo u comment. Usijiingize kwenye mikakati wakati hujaonesha kuelewa wala tatizo wala jibu. Mbona Yanga mabingwa na wametoa wafungaji wazuri n.k, Ajib wamemsajili wa nini? na umeona Simba mnawaita ma mbumbumbu umesikia hata mpenzi au kiongozi mmoja anamlilia Ajib? mbumbumbu ni nani?
 
Matatizo ya performance ya simba misimu iliyopita, kisayansi yanaeleweka. Na sasa wana ya address kwa njia mbalimbali. Ulitaka wambakize Agban wa nini. Ngojea uone matokeo ya usajili ndiyo u comment. Usijiingize kwenye mikakati wakati hujaonesha kuelewa wala tatizo wala jibu. Mbona Yanga mabingwa na wametoa wafungaji wazuri n.k, Ajib wamemsajili wa nini? na umeona Simba mnawaita ma mbumbumbu umesikia hata mpenzi au kiongozi mmoja anamlilia Ajib? mbumbumbu ni nani?
Hata walivyomwacha Tambwe hawakumlilia
 
Matatizo ya performance ya simba misimu iliyopita, kisayansi yanaeleweka. Na sasa wana ya address kwa njia mbalimbali. Ulitaka wambakize Agban wa nini. Ngojea uone matokeo ya usajili ndiyo u comment. Usijiingize kwenye mikakati wakati hujaonesha kuelewa wala tatizo wala jibu. Mbona Yanga mabingwa na wametoa wafungaji wazuri n.k, Ajib wamemsajili wa nini? na umeona Simba mnawaita ma mbumbumbu umesikia hata mpenzi au kiongozi mmoja anamlilia Ajib? mbumbumbu ni nani?
Kwa hiyo matatizo ya Simba yalihitaji usajili the wachezaji 15 msimu huu... Maana mshasajili 12 na bado mnasajili......
 
Narudia tena kusema enyi Kaimu Viongozi wa Simba SC Salim Abdallah a.k.a try again na mwenzako ' Mtani ' wangu wa Kihaya Idi Kajuna a.k.a tajiri kijana nawapa muda wa Saa 24 au 48 tu zijazo waambieni ukweli wana Simba SC kuhusu Wachezaji Haruna Niyonzima na Aishi Manula kabla sijaja humu na taarifa ya ukweli kabisa kuhusu wao na jinsi mnavyotudanganya kila uchao.

Semeni ukweli ili muwe huru.

Nawasilisha.
kuwa na subira ndugu yangu hao wachezaji unaowataja wote ni mali ya simba kinachosubiriwa ni mikataba yao kuisha waweze kutangazwa rasmi,,....simba hatuwezi kuingia kwene mtego wa kuwatangaza kabla ya muda tukapata matatzo yakujitakia
 
Narudia tena kusema enyi Kaimu Viongozi wa Simba SC Salim Abdallah a.k.a try again na mwenzako ' Mtani ' wangu wa Kihaya Idi Kajuna a.k.a tajiri kijana nawapa muda wa Saa 24 au 48 tu zijazo waambieni ukweli wana Simba SC kuhusu Wachezaji Haruna Niyonzima na Aishi Manula kabla sijaja humu na taarifa ya ukweli kabisa kuhusu wao na jinsi mnavyotudanganya kila uchao.

Semeni ukweli ili muwe huru.

Nawasilisha.
Half Brain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Common sense tu inahitajika

Manula na niyonzima wanatua simba
 
Back
Top Bottom