steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Hio inaitwa Mind Games. They are indirectly but purposely putting pressure on the match officials.Time ya kaiza chiefs imepeleka malalamiko yao caf wakisema hawana imani na marefa kutoka burundi ambao watachezesha mechi dhidi ya Simba
Binafsi Naona jmaa wameanza kugwaya mapema
Je kwa taratibu za mpira imebaki sikumoja makocha watabafilishwa?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mara refa mara kocha tukuelewe vipi? Waambie kaizer first eleven yao wote covid 19 wakaungane na wakina halima mdee bungeniTime ya kaiza chiefs imepeleka malalamiko yao caf wakisema hawana imani na marefa kutoka burundi ambao watachezesha mechi dhidi ya Simba
Binafsi Naona jmaa wameanza kugwaya mapema
Je kwa taratibu za mpira imebaki sikumoja makocha watabafilishwa?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Time ya kaiza chiefs imepeleka malalamiko yao caf wakisema hawana imani na marefa kutoka burundi ambao watachezesha mechi dhidi ya Simba
Binafsi Naona jmaa wameanza kugwaya mapema
Je kwa taratibu za mpira imebaki sikumoja makocha watabafilishwa?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Na hichi ndo wanachotaka simba wafikiri. Wakishafikiri kama unavyofikiri watawaza kushambulia ziadi na wao watajiandaa kutumia makosa ya mabeki wakati wanashambulia. Hii itasababisha simba wawe wameshambulia sana na wana goal on targets nyingi.Watafute visingizio ila kwa Mkapa waandae kapu la magoli.