steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Time ya kaiza chiefs imepeleka malalamiko yao caf wakisema hawana imani na marefa kutoka burundi ambao watachezesha mechi dhidi ya Simba
Binafsi Naona jmaa wameanza kugwaya mapema au wanawatikisa marefa
Je kwa taratibu za mpira imebaki sikumoja marefa watabafilishwa?
Binafsi Naona jmaa wameanza kugwaya mapema au wanawatikisa marefa
Je kwa taratibu za mpira imebaki sikumoja marefa watabafilishwa?