Lakini Simba pia ilimpiga 3!Simba jua kali na joto la dar linambeba sana.. pia corona imembeba sana... ila mipango simba hana ya kumzidi kaizer chiefs msimu huu.
Kaizer hana mpira wowote wa maana.. ila ana game plan za maaana.. ame suprise timu nyingi sana mwaka huu.. hata simba hakutegemea zile 4