Kaizer Chiefs ni vibonde kama vibonde wengine huko bondeni

Kaizer Chiefs ni vibonde kama vibonde wengine huko bondeni

Matteo Vargas

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2019
Posts
803
Reaction score
1,329
Wakati Yanga wanashambulia kwa Kasi wao wakipata mpira wanacheza na majukwaa. Vilakazi alikuwa na mambo Skudu tu hamna kitu. Kwa ninavyoiona Utopolo kazi kwa mtu kutakuwa na kazi.

Ila Kaizer ni Vibonde wameisha. Bora hata Marumo Gallants
 
Wakati Yanga wanashambulia kwa Kasi wao wakipata mpira wanacheza na majukwaa. Vilakazi alikuwa na mambo Skudu tu hamna kitu. Kwa ninavyoiona Utopolo kazi kwa mtu kutakuwa na kazi.

Ila Kaizer ni Vibonde wameisha. Bora hata Marumo Gallants
Mumesahau nyinyi mbumbumbu mlikula 5.
 
Wakati Yanga wanashambulia kwa Kasi wao wakipata mpira wanacheza na majukwaa. Vilakazi alikuwa na mambo Skudu tu hamna kitu. Kwa ninavyoiona Utopolo kazi kwa mtu kutakuwa na kazi.

Ila Kaizer ni Vibonde wameisha. Bora hata Marumo Gallants
IMG-20240728-WA0031.jpg
 
Kwenye ile mechi wachezaji waliokuwa wanapigania nembo ya timu walikuwa hawazidi 5. Kwa hiyo ilikuwa ni wachezaji 17 dhidi ya 5. Ulitegemea nini wengine wameshakuja huko
Oya ndo umenifungua macho...kumbe walikuwa na maduka yao pale ubaya ubwela
 
Kumemucha huko
 

Attachments

  • Screenshot_20240728-221343.png
    Screenshot_20240728-221343.png
    687.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom