Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
Mumesahau nyinyi mbumbumbu mlikula 5.Wakati Yanga wanashambulia kwa Kasi wao wakipata mpira wanacheza na majukwaa. Vilakazi alikuwa na mambo Skudu tu hamna kitu. Kwa ninavyoiona Utopolo kazi kwa mtu kutakuwa na kazi.
Ila Kaizer ni Vibonde wameisha. Bora hata Marumo Gallants
Tarehe 8 Utopolo wakitufunga nahamia somalia bila masharti yeyote.Subiri 8/8 useme vizuri.
Kwenye ile mechi wachezaji waliokuwa wanapigania nembo ya timu walikuwa hawazidi 5. Kwa hiyo ilikuwa ni wachezaji 17 dhidi ya 5. Ulitegemea nini wengine wameshakuja hukoAfadhari hata wao wamejikaza bao 4 nyie Saba
Sawa boss uvae wax kabisa.Tukutane tar 8 mkuu
Wakati Yanga wanashambulia kwa Kasi wao wakipata mpira wanacheza na majukwaa. Vilakazi alikuwa na mambo Skudu tu hamna kitu. Kwa ninavyoiona Utopolo kazi kwa mtu kutakuwa na kazi.
Ila Kaizer ni Vibonde wameisha. Bora hata Marumo Gallants
Hii ilikuwa timu kweli. Sio hii ya sasa inachukua wakina Chivaviro walioishusha daraja Marumo.
Na hizi timu je?Hii ilikuwa timu kweli. Sio hii ya sasa inachukua wakina Chivaviro walioishusha daraja Marumo.
Oya ndo umenifungua macho...kumbe walikuwa na maduka yao pale ubaya ubwelaKwenye ile mechi wachezaji waliokuwa wanapigania nembo ya timu walikuwa hawazidi 5. Kwa hiyo ilikuwa ni wachezaji 17 dhidi ya 5. Ulitegemea nini wengine wameshakuja huko