Kaizer chiefs vs Al Ahly

Kaizer chiefs vs Al Ahly

Sasa naamini chini ya jua hakuna linaloshindikana..nakumbuka enzi hizo nipo skuli huyu commentator wa leo (Gharibu Mzinga) aliwahi Kuniambia 'satoh' siku moja nitakuja kuwa moja ya watangazaji Bora kabisa wa kandanda hapa bongo

Leo mwana anatangaza fainali ya mabingwa Africa..big up sn kwake

*Kaizer wanashinda dakika 30 za nyongeza
 
Kaizer mda sio mrefu anadundwa

Bol pozeshen
Al ahaly 71.4__28.6 Kaiza
 
Sasa naamini chini ya jua hakuna linaloshindikana..nakumbuka enzi hizo nipo skuli huyu commentator wa leo (Gharibu Mzinga) aliwahi Kuniambia 'satoh' siku moja nitakuja kuwa moja ya watangazaji Bora kabisa wa kandanda hapa bongo

Leo mwana anatangaza fainali ya mabingwa Africa..big up sn kwake

*Kaizer wanashinda dakika 30 za nyongeza

Badala kuwaombea ahaly,
 
Dakika ya 47' Mashiane wa Kaizer Chief ala kadi nyekundu. Hivyo timu hii ya Afrika ya Kusini inabidi kuja na plan B kupunguza kasi kubwa ya wachezaji wa Al Ahly kama timu hii ya Egypt wakiendelea nayo kipindi cha pili cha mechi hii ya fainali.

Half time Kaizer Chiefs 0 : 0 Al Ahly
 
Back
Top Bottom