Kaja ghetto kapigwa mande

Kaja ghetto kapigwa mande

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Tunapenda muziki lakini mara nyingine kunakuwa na mistari ya kudhalilisha wanawake au kuchochea ukatili dhidi ya wanawake.

"Kaja gheto kapigwa mande" ni mistari inayopatikana kwenye wimbo wa wapolo wa Weusi, hayo maneno yakiwa ni maneno ya G-Nako, ambayo kimsingi yanasifia ubakaji

Serikali inazuia nyimbo zenye maudhui ya kukosoa serikali lakini inaruhusu maudhui ya kudhalilisha wanawake.

Je, unaujua wimbo gani mwingine ambao una mistari ya kusifia unanyanyasaji dhidi ya wanawake?
 
Tunapenda muziki lakini mara nyingine kunakuwa na mistari ya kudhalilisha wanawake au kuchochea ukatili dhidi ya wanawake.

"Kaja gheto kapigwa mande" ni mistari inayopatikana kwenye wimbo wa wapolo wa Weusi, hayo maneno yakiwa ni maneno ya G-Nako, ambayo kimsingi yanasifia ubakaji

Serikali inazuia nyimbo zenye maudhui ya kukosoa serikali lakini inaruhusu maudhui ya kudhalilisha wanawake.

Je, unaujua wimbo gani mwingine ambao una mistari ya kusifia unanyanyasaji dhidi ya wanawake?

Kwani mande ni nini?
 
Tunapenda muziki lakini mara nyingine kunakuwa na mistari ya kudhalilisha wanawake au kuchochea ukatili dhidi ya wanawake.

"Kaja gheto kapigwa mande" ni mistari inayopatikana kwenye wimbo wa wapolo wa Weusi, hayo maneno yakiwa ni maneno ya G-Nako, ambayo kimsingi yanasifia ubakaji

Serikali inazuia nyimbo zenye maudhui ya kukosoa serikali lakini inaruhusu maudhui ya kudhalilisha wanawake.

Je, unaujua wimbo gani mwingine ambao una mistari ya kusifia unanyanyasaji dhidi ya wanawake?
WALE WASAFI PALE USAFINI KARIBU NYIMBO ZAO ZINA MATUSI NA HAZIFUNGIWI
 
Tunapenda muziki lakini mara nyingine kunakuwa na mistari ya kudhalilisha wanawake au kuchochea ukatili dhidi ya wanawake.

"Kaja gheto kapigwa mande" ni mistari inayopatikana kwenye wimbo wa wapolo wa Weusi, hayo maneno yakiwa ni maneno ya G-Nako, ambayo kimsingi yanasifia ubakaji

Serikali inazuia nyimbo zenye maudhui ya kukosoa serikali lakini inaruhusu maudhui ya kudhalilisha wanawake.

Je, unaujua wimbo gani mwingine ambao una mistari ya kusifia unanyanyasaji dhidi ya wanawake?


Gheto ni nini na Mande ni wapi?
 
Tatizo ni lugha tu,lakini 3some au 4some ndiyo hiyohiyo MANDE,na madada wanafurahia,nashangaa wewe unavyosema wanadhalilishwa,utadhani hujui hayo mambo ni kawaida na madada na akina kaka wanainjoi.
Kuna dada namjua,anao uwezo wa kupigwa na wanaume sita yaani six,nayeye anainjoi,sijui unashangaa nini?
Acha kujifanya hujui.
 
Tatizo ni lugha tu,lakini 3some au 4some ndiyo hiyohiyo MANDE,na madada wanafurahia,nashangaa wewe unavyosema wanadhalilishwa,utadhani hujui hayo mambo ni kawaida na madada na akina kaka wanainjoi.
Kuna dada namjua,anao uwezo wa kupigwa na wanaume sita yaani six,nayeye anainjoi,sijui unashangaa nini?
Acha kujifanya hujui.
Na kweli kwa Wadada wa sikuhizi Mande sio kitu cha kuwatisha
 
Back
Top Bottom