Kaja nyumbani kwangu halafu kakaza kutoa mzigo

Kaja nyumbani kwangu halafu kakaza kutoa mzigo

Huyo mwanaume utakayempata ambao hawazi ngono labda atoke kwenye sayari ya Mars.
Wanaume wote 98% tunawaza ngono
Hiyo ni nzuri na siku hizi hata mpenz mtu unaenda kwa machale..... Maan manaume ya siku hizi hayana mawazo tofauti ni ujinga tu
 
Heshimu kina mama sio kila mmoja wa kufanya nae ujinga, wengine mama zako, dada zako, shangazi, mama wadogo, ndugu, jamaa na marafiki...ukizingatia hayo hutaishi kwa stress za kunyimwa au kukataliwa...
 
Nyie madogo mnafeli sana. Hiyo huwa haiombwi hivyo.

Pisi za town huwa haziaminii love au show we weka kibunda mezani

Nasema hivi
Weka kibunda mezani

Nasema tena
Weka kibunda mezani

Huoni malegend jinsi tunavyo tamba mjini.... Pesa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jisemee ww sio wenzio ambao awapo hapa sa hii
Nimekuja hapa kwa niaba yao, hata tuliokuwa hatujawasili tunawaza ngono

Lazima nikuchakate tu, mbona kuna demu wangu aliwahi kuja na rafiki yake usiku kunitembelea, niliwakula wote, sipendagi ujinga [emoji1787][emoji1787]

Tena ngoja niandike uzi huu
 
Nimekuja hapa kwa niaba yao, hata tuliokuwa hatujawasili tunawaza ngono

Lazima nikuchakate tu, mbona kuna demu wangu aliwahi kuja na rafiki yake usiku kunitembelea, niliwakula wote, sipendagi ujinga [emoji1787][emoji1787]

Tena ngoja niandike uzi huu
Bado ngoja tusubili wengine waje tuone watasemaje... Kusudi tujipange kivingine
 
Demu tulikutana kwenye mishemishe za kutafuta Door, longtime ago , japo hatukutongozana ila tulikuwa na intimacy , jana namchek kama masikhara njoo ntembelee na akaja kwel tena usiku, demu nimelala nae kitanda kimoja godoro moja ila kakaza kabisa kutoa mzigo.

Anasema kila muhuni akimchakata baada ya wiki anamuacha, anataka kwanza aone matendo yangu how much ilove her , nimebembeleza wee nikachoka nikamwambia lala ila ukiamka asubuhi mm na wewe hatujuani.

Kweli asubuhi nikamlia buyu hata nauli sjampa.
Mashine yake mbovu
 
Iliwahi nitokea wewe ulifeli kimlia buyu asubuhi,
Nililala naye usiku wote akagoma,kumpa kibunda anagoma yeye hajiuzi!!!
Asubuhi nikampa nauli akasepa!!
Sikumtafuta,alinitafta mwenyewe mchana ,akajieleza weeee jioni akarudi akatoa mzigo
 
Back
Top Bottom