we liendeleze tu,mwenzako mmoja alivuta njiti alizokuwa anawashia mmea akawa anaziona kama vipande vya magogo.Akawa anarudi nyuma anakimbia anaruka juu akidhani magogo kumbe ni njiti alizotumia kulipulia mmea.Acha bangi.Pombe? Kumbe inasababisha vidonda vya tumbo? Bora niendelee na mmea tu
sijaelewa hapo....
Utajua wapi unashinda uwanjani kuiangalia arsenal majanga?Muulize mdogo wangu atakwambia
ubuyu au ub*ro?
Nimependa goli la king.Asante maana nilikuwa nampendaga henry halafu nilikuwa sijamuona mda mrefu
Karibu arsenal....
Nimependa goli la king.Asante maana nilikuwa nampendaga henry halafu nilikuwa sijamuona mda mrefu
hana lolote atakufa km kuambiana