Ziada
Member
- Dec 27, 2013
- 82
- 17
Kajala Masanja amefunguka kuwa anajuta kunywa pombe baada ya kumsababishia maumimu makali hivi karibuni. Kajala ambaye anakimbiza kunako anga la filamu Bongo, amesema anasumbuliwa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo sasa siku hiyo alikunywa sana pombe na kujikuta akipata maumivu makali tumbon
