Kajala ajuta kupiga mitungi

we liendeleze tu,mwenzako mmoja alivuta njiti alizokuwa anawashia mmea akawa anaziona kama vipande vya magogo.Akawa anarudi nyuma anakimbia anaruka juu akidhani magogo kumbe ni njiti alizotumia kulipulia mmea.Acha bangi.

Ha ha ha....kuna mwingine anaitwa chaUkucha
 
Last edited by a moderator:
Sijui tu kwanini ubuyu ambao haujaletwa na binamu warumi hata haunogi.Wewe Dinazarde, Tumboo na nifah njooni msikie kajala anapiga sana moet

Ujue nini honey ubuyu wa warumi unabamba sababu naye hachezi mbali na ana data za kufa mtu...ni burudani iliyoje???
Ila huyu mleta mada tokea alivyopost nae kapotea....
 
Last edited by a moderator:
Nasikia kafulia hatariiii...asisingizie mipombe ni stress zake tu hizo

Nackia CK karudi kwa mama Ubaya ndo maana bibie karudi hewani kwa kasi safari ya China, BMW la birthday, in my Ushuzi yaani full shangwe. Kajala kabaki kusugua gaga teh teh! ...Chezea mutoto ya Mariam Sepetu!
 
Nackia CK karudi kwa mama Ubaya ndo maana bibie karudi hewani kwa kasi safari ya China, BMW la birthday, in my Ushuzi yaani full shangwe. Kajala kabaki kusugua gaga teh teh! ...Chezea mutoto ya Mariam Sepetu!

Uwiiiii kweli mjini pagumu jamani...naanzaje kulirudia jianaume kama hilo?zote ni tamaa za pesa tu...
Huyo Kajala naye aibu zake,kumbe ndio maana wema aliumia vile kumbe bado alikua anampenda CK wake eeh?
 
Uwiiiii kweli mjini pagumu jamani...naanzaje kulirudia jianaume kama hilo?zote ni tamaa za pesa tu...
Huyo Kajala naye aibu zake,kumbe ndio maana wema aliumia vile kumbe bado alikua anampenda CK wake eeh?

Anampendea pesa hana muda wa kupenda malofa labda jumbe ndo alimpenda
 
Nackia CK karudi kwa mama Ubaya ndo maana bibie karudi hewani kwa kasi safari ya China, BMW la birthday, in my Ushuzi yaani full shangwe. Kajala kabaki kusugua gaga teh teh! ...Chezea mutoto ya Mariam Sepetu!

HApana, mama ubaya yupo na mkongo
 
Anampendea pesa hana muda wa kupenda malofa labda jumbe ndo alimpenda

Hahahaaaa Mange alinichekesha eti wema kapata bwana anayejua kulea sio anayelalamika mwanamke mvivu hatafuti....mwanamke matunzo bwana...
Naona CK anayajuaajukumu yake haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…