we liendeleze tu,mwenzako mmoja alivuta njiti alizokuwa anawashia mmea akawa anaziona kama vipande vya magogo.Akawa anarudi nyuma anakimbia anaruka juu akidhani magogo kumbe ni njiti alizotumia kulipulia mmea.Acha bangi.
Anywe tu maana hatakuwa wa kwanza kufa
Nasikia kafulia hatariiii...asisingizie mipombe ni stress zake tu hizo
Nackia CK karudi kwa mama Ubaya ndo maana bibie karudi hewani kwa kasi safari ya China, BMW la birthday, in my Ushuzi yaani full shangwe. Kajala kabaki kusugua gaga teh teh! ...Chezea mutoto ya Mariam Sepetu!
Uwiiiii kweli mjini pagumu jamani...naanzaje kulirudia jianaume kama hilo?zote ni tamaa za pesa tu...
Huyo Kajala naye aibu zake,kumbe ndio maana wema aliumia vile kumbe bado alikua anampenda CK wake eeh?
Nackia CK karudi kwa mama Ubaya ndo maana bibie karudi hewani kwa kasi safari ya China, BMW la birthday, in my Ushuzi yaani full shangwe. Kajala kabaki kusugua gaga teh teh! ...Chezea mutoto ya Mariam Sepetu!
Mwanangu umeua! ila huyu demu huwa namtamani saaaaana aisee.Kauzu kauzu tuuu hata umtie ndimu nyanya vitunguu lakini utamkuta kakutolea mimacho tuuuu
Huyu m.alaya tuu asikuumize kichwa
nasikia kafulia hatariiii...asisingizie mipombe ni stress zake tu hizo
Hahahahahahhhahhahahahaaha, pedeshee kajala! Dah nimecheka,kafulia lini tena pedeshee kajala...?!!&
Anampendea pesa hana muda wa kupenda malofa labda jumbe ndo alimpenda
kafulia lini tena pedeshee kajala...?!!&
Hahahahahahhhahhahahahaaha, pedeshee kajala! Dah nimecheka,
Nasikia tu umbea wa mjini eti kafulia hata pesa ya kodi hana....
hana akili kajala ameacha kujenga kipindi kile anauza sura ig yaani yule ---- kweli
si nilisikia anasifiwa ana akili anajengewa tegeta jamani?...
hana lolote atakufa km kuambiana