Eheee hiiii mbasha atavumilia hilo ta.ko la kajala,mmmhhhhh mabwaku
Eheee hiiii mbasha atavumilia hilo ta.ko la kajala,mmmhhhhh mabwaku
Weka picha tuone.
kajala anaijua jera nyie acheni tu niliwai kukaa mwezi tu sitamani tena itokee aixee,we jaribu kujifungia chumbani kwako kwa siku moja tu bila simu,tv radio wala chochote cha kukurefresh mind kama majarida,magazeti na nk then kesho uje usimulie balaa lake
Mbasha anapenda wanawake waliofungashia hatar, we humuon mke wake sura kama kwapa la bi staa ila nyuma ahaha kajazia
Mmh mbasha lazima akamatie zigo hilo maana jamaa inaonekana anapenda kwel waliofungasha
Eeh binamu ulifanya majanga gani na wewe mpaka yakakukuta