Kajala alitaka kumlipia mume wa Florah Mbasha hela ya dhamana mahakamani

Kajala alitaka kumlipia mume wa Florah Mbasha hela ya dhamana mahakamani

Kama ulikuwa hujui basi chukua hii, staa wa filamu za kibongo, Kajala Masanja alitaka kumlipia dhamana mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Florah Mbasha aitwaye Emmanuel Mbasha shillingi za kitanzania million tano(5).

Hata hivyo staa huyo alikuta tayari ndugu wa Emmanuel Mbasha wameshamlipia ndugu yao dhamana hiyo, hivyo zoezi lake hilo la kutoa msaada huo halikufanikiwa, hata hivyo mume wa Florah alimshukuru sana staa huyo kwa moyo wake huo wa upendo na huruma aliomuoneshea.

Frola anasema cha nini.wengine wanasema watakipata lini...
 
kuna mtu nilimuwekea dhamana by then akakimbia so ikabidi niwekwe kizuizin mpaka atakapopatikana

"mpaka atakapopatikana"- so mkuu unachat live kutokea rumande?😳


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
MTV mama Diamondplatnumz (best male, live, collaboration) & vanessa (best female)

⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇⬇


MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015
MAMA 2015


⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆⬆
link hiyoooooooooooo... #wasaaaaaaafi

___________________________________
Hakikisha unapiga kwa kutumia browser, na lazima kusign in kwa Facebook, twitter, or email... Kila kipengele 20 votes kila siku, kwa waliojiunga na email, au twitter wanapiga bila kikomo...

vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote vote
 
Back
Top Bottom