kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,470
Mme wa mtu = mke wa mtu
Divide by 'wa mtu' both sides
Mme=mke
Hahahaha we unaonekana ulikua mkali wa mahesabu
Umenicha hoi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mme wa mtu = mke wa mtu
Divide by 'wa mtu' both sides
Mme=mke
Bonyeza hapa
Kama ulikuwa hujui basi chukua hii, staa wa filamu za kibongo, Kajala Masanja alitaka kumlipia dhamana mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Florah Mbasha aitwaye Emmanuel Mbasha shillingi za kitanzania million tano(5).
Hata hivyo staa huyo alikuta tayari ndugu wa Emmanuel Mbasha wameshamlipia ndugu yao dhamana hiyo, hivyo zoezi lake hilo la kutoa msaada huo halikufanikiwa, hata hivyo mume wa Florah alimshukuru sana staa huyo kwa moyo wake huo wa upendo na huruma aliomuoneshea.
kuna mtu nilimuwekea dhamana by then akakimbia so ikabidi niwekwe kizuizin mpaka atakapopatikana
hapabonyezeki aisee!!
Sijui kwa nini florah kamuacha mumewe kaenda kwa gwajima ana sura kama nguchiro, au alikuwa hampi mambo vzur? Maana jamaa nae anaonekana goi goi tu