Kajala alitaka kumlipia mume wa Florah Mbasha hela ya dhamana mahakamani

Tatizo la kajala ni k kuwa na harufu ya mchelemchele..otherwise ana ---- la hatari na anapiga miguu yote kama Lampard
 
binamu dhamana kama ni milioni 5 huwa ni ya maandishi na siyo cash, wasitufanye wote kama ni wajinga wenzao.
 
Ivi kajala ana kazi gani inayomwingizia kipato tofauti na uigizaji. Maana elimu yake najua ni std. 7 lakini kila siku ana hela. Anazitoaga wapi?
 

Eeh kumbe? Sasa ukishaandika ndo umelipa au ndo mpaka mwisho wa mwezi?
 
Reactions: amu
du ila huyu demu born town kweli...kaanza kuwika kitambo...toka niko dogo mpaka leo jibaba...nakumbuka miss bantu bilicanas
 
binamu dhamana kama ni milioni 5 huwa ni ya maandishi na siyo cash, wasitufanye wote kama ni wajinga wenzao.

watu wengi hawajui taratibu za dhamana mkuu
 
Tatizo la kajala ni k kuwa na harufu ya mchelemchele..otherwise ana ---- la hatari na anapiga miguu yote kama Lampard

Na K ya bimkubwa wako ina harufu ya ugali ugali au pumba pumba??
 
Eheee hiiii mbasha atavumilia hilo ta.ko la kajala,mmmhhhhh mabwaku

Na bibie anavyopenda mahandsome.
Hata ningekuwa mie mume wa flora simwachi.
Mtamu vile.
He hehyaaaa kantangaze.
 
watu wengi hawajui taratibu za dhamana mkuu

sasa huu ujinga wawe wanadanganyana wenyewe, ziko nchi dhamana ni cash money mshtakiwa akiruka dhamana pesa yako imeliwa na hauwekwi jela, Tanzania ukimdhamini mtu ni dhamana ya maandishi na kama kesi kubwa zinatakiwa hati za nyumba, je kajala ana nyumba?
 
Ivi kajala ana kazi gani inayomwingizia kipato tofauti na uigizaji. Maana elimu yake najua ni std. 7 lakini kila siku ana hela. Anazitoaga wapi?

Acha uongo kajala kasoma jitegemee jkt sec nimesoma naye

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Acha uongo kajala kasoma jitegemee jkt sec nimesoma naye

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mwambie huyo kajala kasoma kafika hadi form two yule pale makongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…